Blueprint 9
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 765
- 1,329
Manara ni mbumbumbu tu
Hii fact haiingii akilini.Bifu la haji manara na shafii dauda ni ugovi wametengeneza wao tu hasa baada ya dauda kuibiwa account yake 1million followers so naona wameamua kupigana tafu kukuza account yake dauda maana wanajua wabongo wapenda ubuyu sana . naona hii mbinu imesadia maana dauda sasa hivi account imekua fasta sana kwa muda mfupi tu 95kView attachment 985604
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wana yao binafsi sababu hata huyo Shaffih Dauda ni Mikia mwenzao na hata huyo manara analijua hilo.
View attachment 985595View attachment 985597
Hizi ni kauli za huyo Manara huko Insta akiwachambua wachambuzi wa soka wa Kibongo na Shaffih akiwemo.
Hahahaaa, sikuwezi Shadeeya aiseeNimekuelewa sana Mkuu hasa kutokana na hii kauli ya Manara hapo nyuma.
View attachment 985609
Hii ni movie wanatuchezea sababu haiwezekani mtu mwenye ugomvi naye halafu aombe watu wamfollow.
Shaffih ni simba damu nyie hamfatilii tu
Nimeyaleta Mjue jinsi hao wenye majina yao walivyo Mambumbu kwa kucheza na akili za watu. 🙈 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Na wanatupata haswaaa! Yaani nimecheka sana wanavyotuendesha kama wameshika remote wanabadilisha channel tuNimeyaleta Mjue jinsi hao wenye majina yao walivyo Mambumbu kwa kucheza na akili za watu. 🙈 🙈🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Hahahaa. Poleni.Na wanatupata haswaaa! Yaani nimecheka sana wanavyotuendesha kama wameshika remote wanabadilisha channel tu
Weye apo hukuingia kwenye huo mtego kwani kabda ya Haji kufichua hilo? Hukuwahi kudhani kua Shaffi atakua Yanga kwahiyo umsapoti?Hahahaa. Poleni.
Ni kweli kabisaaaUsipotoshe mkuu Shafii ni yanga lialia. Lini kahamia Simba?