Mtangazaji Shafii Dauda vs Msemaji wa Simba, Haji Manara

Kama ni kukosa uongozi kwani ni Shaffi pekee aliyekosa? Huenda kuna lingine ila wanatumia Simba kama kivuli cha kuendesha bifu.
Manala ndo dongo lake la siku zote kwa Shaffi,Hajji anaitumia Simba kujiongezea umaarufu cos 2020 anataka kugombea ubunge jimbo fulani via CCM
 
Wanaoiponda simba
IMG-20181222-WA0005.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kusema underdog na kuikubali hali husika ni kuwa vunjà mrali wachezaji... na manara kama sehemu ya uongozi hawezi ruhusu hilo kwa timu yake...

ana tumia nguvu nyingi kusema ana weza hata kama hawezi, yeye ni muhamasishaji mzuri...

ni kama mzazi na mwanae, huwezi mwambia mwanao kichwa box au utafeli mitihani ni migumu na wewe nikilaza...

hivyo Manara yupo sahihi kwa hilo... simba sio underdog ni timu kubwa yenye kuweza kutoa ushindani...

kama swala ni hilo basi shaffih kachemka...!
Ina maana wachezaji hawapati ushauri wa kisaikolojia kutoka ndani ya dawati lake la ufundi? Na kama ni hivyo, kuna uhakika gani kwamba mipasho hiyo ya Manara na Shafii inawafikia wachezaji na kufanya kazi ya ushauri unaotakiwa?
 
Jamaa kasahau majukumu yake kama msemaji wa Simba na sasa hivi anachofanya ni kujibizana mipasho tuu na watu baki

Msemaji wa Klabu kazi yako ni kutuhabarisha taarifa za timu,mipango,mikakati,habari za wachezaji,maendeleo ya timu kwa ujmla nk

Sasa msemaji unaanza vijembe na ushabiki wa kiboya boya kama bwege bhana!!

Mie Simba,ila manara ananiboa to some extent!
 
Kuna vita inaendelea kwenye social media kati ya watu wawili anbao wanajulikana ni wana Msimbazi kinda kindakindaki.
Kila kijembe cha Dauda kinajibiwa kwa kuikasfu Yanga ambayo haina uhusiano na ugomvi wao.
Kila kombora la Shafii linajibiwa kwa kuikejeli Yanga. Vyema Haji akajua namna ya kupigana vita yake.
Au Shafii anaiwakilisha Yanga kwenye ugomvi wao? Kwenye vita, kwanza mjue adui yako.
Tatizo wote wale Wajivuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatua ya Simba kuwa kampuni bila shaka ni ya maendeleo.

Je ile dhana ya msemaji wa club kama ilivyokuwa zamani bado ina nafasi kwenye kampuni? Nadahni kampuni hata club nyingine kubwa zinatakiwa kuwa na Afisa Habari mwenye taaluma ya IT ambaye kazi yake kubwa ni kumanage vitu kama tovuti ya club.
 
Ina maana wachezaji hawapati ushauri wa kisaikolojia kutoka ndani ya dawati lake la ufundi? Na kama ni hivyo, kuna uhakika gani kwamba mipasho hiyo ya Manara na Shafii inawafikia wachezaji na kufanya kazi ya ushauri unaotakiwa?
Na zani una jua au fahamu kuwa manara ni mhamasishaji... kuhamasisha kwake kuna leta morali kiushindani kwa washabiki na wachezaji wasijisikie wanyonge...

Ndio maana mara nyingi timu zina tumia nguvu kubwa kuomba nguvu ya washabiki kwa kujitokeza kwa wingi kuwapa nguvu wachezaji na kuwa discourage wapinzani kwa kuwa tia hofu...

sasa ukianza kuwa na hofu wewe mwenyewe ukiwa kwako una tegemea nini?? Nyumbani ni Nyumbani hata kama hamnywi chai...!

Simba si underdog, Simba ni timu ya ushindani...! na Manara ana pigana leo kesho kupeleka morali kwa washabiki na wachezaji, una ona ana wafunga kamba za viatu wachezaji, yupo kama mjinga mjinga lakini ana fahamu analo lifanya, nikama alivyo kuwa ana fanya ndg. Jerry

nazani swala la morali kwa wachezaji nenda kamuulize Mourinho... si alikuwa na timu ya wana saikolojia sasa ilikuwaje akawa ana hamasisha timu, na baadae akawa ana wavunja moyo wachezaji wake yeye mwenyewe, Je wana saikolojia walikuwa wapi kufanya kazi yao kipindi wanapo vunjwa moyo na kocha...

Mf. sasa hivi Man Utd wachezaji wana amani wana furaha... wana saikoloji walikuwa likizo ya mwaka mpya na chrismas??
 
Hatua ya Simba kuwa kampuni bila shaka ni ya maendeleo.

Je ile dhana ya msemaji wa club kama ilivyokuwa zamani bado ina nafasi kwenye kampuni? Nadahni kampuni hata club nyingine kubwa zinatakiwa kuwa na Afisa Habari mwenye taaluma ya IT ambaye kazi yake kubwa ni kumanage vitu kama tovuti ya club.
Si zani kama ni lazima... hapo kuna IT department na hili hapo kabla kulikuwa na kampuni ya wale wahaya kama sikosei ndio ilikuwa ikifanya hizo kazi za kumanage website ya timu ya simba, ni mpaka sasa kama bado wana mkataba...

nazani pia kila kitu kina mipaka yake kutokana na muundo wa kampuni au taasisi husika... nikama ktk taasisi za serikali kuna msemaji na kuna idara ya teknohama kama sija kosea hapo
 
Hao wana yao binafsi sababu hata huyo Shaffih Dauda ni Mikia mwenzao na hata huyo manara analijua hilo.

20190104_111215.jpg
20190104_111030.jpg

Hizi ni kauli za huyo Manara huko Insta akiwachambua wachambuzi wa soka wa Kibongo na Shaffih akiwemo.
 
Back
Top Bottom