Mtangazaji makerubi wa Tbc1

don12

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
678
Reaction score
201
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,
 
Anatangaza vizuri sana. Anafuraha sana kwa kazi anayo ifanya.
 
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,

We ushazeeka.
Sisi ndo tunataka vile na tunamkubali.
 
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,

Sasa ulitaka anune, we ndo hovyo kabisa.
 
Mwanaume anachekacheka kama anatekenywa
 
yeye anaona wakristo ni katoliki tu
 
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,

Hahahaha eti anajipigia makofi , seriously???
 
sema mtizamo tu lakini jamaa anaiweza kazi na analugha nzuri yenye kumfanya mtazamaji asichoke na yupoo kipekee sana...
 
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,
Akili zako afadhari hata za nyumbu.
 
At first mtu ukiona kipindi chake unaweza ukadhani ni nanili, bt he has got his own style and that makes him good at wat he does.

Inshort anafanya vizuri Napenda kpnd chake na utangazai wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…