superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
jamani kama kuna siku nimeudhika ni leo , mtandao wa voda unakera sana tokea saa tatu asubuhi napiga simu haziendi inabidi nitumie mtandao mwingine kuwasiliana na watu wa voda hivyo unanizidishia makali ya maisha kwani inaongeza bajeti ya voucher .
kama kuna watu wa voda humu rekebisheni si mambo haya
kama kuna watu wa voda humu rekebisheni si mambo haya