TTCL fiber imekatika sasa ni siku nzima, hawapatikani kujibu wala hawatoi taarifa.
Watu wanafanya biashara zao kutegemea mtandao na tumefunga kwa gharama kubwa ikiwemo kutoa hongo maana ni watu wa hovyo.
Sasa huduma inakatakata kila mara. Reliability 0. Watu wenye biashara zetu tunategemea mtandao.
Nitawashitaki naona imekuwa too much.
Watu wanafanya biashara zao kutegemea mtandao na tumefunga kwa gharama kubwa ikiwemo kutoa hongo maana ni watu wa hovyo.
Sasa huduma inakatakata kila mara. Reliability 0. Watu wenye biashara zetu tunategemea mtandao.
Nitawashitaki naona imekuwa too much.