Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,078
- 1,227
Mara kwa mara huyu mpenzi wangu akinitafuta uambiwa simu yangu iko bize au haiwezi kuunganishwa lkn huyu binti akijaribu kuwatafuta watu wengine hii shida hakutani nayo jana nimewapigia tigo kulalamika wakanambia wanashida ya mtandao.
Leo asubuh namcheki mpenzi wangu kwa njia ya whatsapp kumsabah kaamua kuninunia hataki hata kuongea namimi sms anasoma lkn hajibu nimekutana nae ofisini leo kanuna kweli yaani namuuliza mbona nakutumia sms hujibu akajibu mbona wewe hujibu nikwamwambia kuna tatizo jingine ndio uwe mkali hivi au kuna tatizo jingine nimekukosea akasema kachoka anaomba kupumzika.
Tatizo mimi nayeye tunaishi tofauti tofauti na amakuwa akinishutumu na mcheat mara kwa mara ila hili tigo walilonifanyia naama rasmi mtandao wao.
Leo asubuh namcheki mpenzi wangu kwa njia ya whatsapp kumsabah kaamua kuninunia hataki hata kuongea namimi sms anasoma lkn hajibu nimekutana nae ofisini leo kanuna kweli yaani namuuliza mbona nakutumia sms hujibu akajibu mbona wewe hujibu nikwamwambia kuna tatizo jingine ndio uwe mkali hivi au kuna tatizo jingine nimekukosea akasema kachoka anaomba kupumzika.
Tatizo mimi nayeye tunaishi tofauti tofauti na amakuwa akinishutumu na mcheat mara kwa mara ila hili tigo walilonifanyia naama rasmi mtandao wao.