Mtandao wa 'LOSS REPORT' haupatikani

Mtandao wa 'LOSS REPORT' haupatikani

Jesusking

New Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
4
Reaction score
1
Habari wanajukwaa, yangu jumamosi tarehe 3/4/2021 mida ya mchana hadi sasa mtandao wa polisi wa loss report lormis.tpf.go.tz haupatikani.

Labda kwenu mnayo taarifa yoyote nini shida? Maana kuna wengine ni wagonjwa wanakosa HUDUMA ya matibabu kwa sababu wamepoteza kadi za bima na wanahitaji loss report.

Tunaomba mamlaka zinazohusika mtusaidie kurekebisha hili. Hali ni kama inavyoonekana pichani.

Screenshot_20210404-201119.png
 
Back
Top Bottom