Habarini wana JamiiForums,
Naombeni kujua ni mtandao gani unatoa ofa za night bundle zenye gb kubwa maana sisi wengine tunatumia sana video sasa inakuwa ngumu kutumia bando la kawaida maana gharama ni kubwa hivyo tunavizia usiku.
Je, mtandao gani unatoa night bundl? Kwa sasa TTCL wamefuta TOBOA.
Naombeni kujua ni mtandao gani unatoa ofa za night bundle zenye gb kubwa maana sisi wengine tunatumia sana video sasa inakuwa ngumu kutumia bando la kawaida maana gharama ni kubwa hivyo tunavizia usiku.
Je, mtandao gani unatoa night bundl? Kwa sasa TTCL wamefuta TOBOA.