Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,379
Wakuu nilko huku kwa shughuli za Kijamii...............
Hapa tunachimba dawa....
Nimefikia hapa, Hotel hii ina mandhari nzuri sana
Viunga vya mji wa Lushoto
Hapa panaitwa MLALO
Mwenyeji wangu Shemweta akikatiza mitaa ya Mlalo na rafikiye
Hapa niko kwenye Gulio la Mwikozi
Soko la kwa Sunga Tanga
Nikahudhuria mechi ya hisani
Mzee Mtambuzi mwenyewe namba tisa mgongoni
Nikifotolewa picha ya pamoja na mheshimiwa mgeni rasmi
Timu pinzani Malindi FC, tuliibabua 3 kwa 1
Taifa la kesho, watoto hawa walifurahi kukutana na mzee Mtambuzi...
Lushoto kuzuri bana, hebu cheki bonge la house kama mtoni vile...!
Kesho nitaweka picha zaidi za matukio yaliyojiri huku Sambaani kabla sijarusi Dar
Hapa tunachimba dawa....
Nimefikia hapa, Hotel hii ina mandhari nzuri sana
Viunga vya mji wa Lushoto
Hapa panaitwa MLALO
Mwenyeji wangu Shemweta akikatiza mitaa ya Mlalo na rafikiye
Hapa niko kwenye Gulio la Mwikozi
Soko la kwa Sunga Tanga
Nikahudhuria mechi ya hisani
Mzee Mtambuzi mwenyewe namba tisa mgongoni
Nikifotolewa picha ya pamoja na mheshimiwa mgeni rasmi
Timu pinzani Malindi FC, tuliibabua 3 kwa 1
Taifa la kesho, watoto hawa walifurahi kukutana na mzee Mtambuzi...
Lushoto kuzuri bana, hebu cheki bonge la house kama mtoni vile...!
Kesho nitaweka picha zaidi za matukio yaliyojiri huku Sambaani kabla sijarusi Dar