Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?
Masalia ya Zitto yanatapatapa. Hicho ndicho kiama cha siasa zenu.Mtajuta kumfahamu mnafiki ZZK
kwani kuna ubaya gani wa kumfananisha zitto na wabunge mwenzake vijana ambao wengi wameingia kwenye siasa kwa kuvutiwa na siasa za zitto.
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?
Wewe ni nani hadi utusemee sisi wana MARA? Acha ujinga...hapa...Zitto ni jembe la mkono limepitwa na wakati...Matrekta wakina Tundu Lissu na J.J.Mnyika wapo kazini..na sio Waskazini...nyama ya mbafu wewe...
kweli ni jembe kwani anahitaji mpini ili awe anafikiri vzr sio kukurupuka kwa uroho wa madarakahili liko wazi kabisa kuwa mheshimiwa zitto zuberi kabwe ni jembe! Zitto ni mahiri kwa kujenga hoja na kusimamia anachokiamini tofauti na waropokaji akina wenje,jmnyika,msigwa,nassari,mbilinyi nk.wimbi linalozidi kumwandama zitto ni kutokana na uroho wa baadhi ya viongozi wa juu wa chadema ambao wanaona kuwa zitto ni tishio kwao,wanatumia kila njia kummaliza zitto,hawawezi! Watz tunatambua umuhimu wa zitto,tuko nyuma yake na tuko tayari kupambana na dhuluma yoyote dhidi yake. Kinachomponza zitto ni umahiri wake na kingine zitto siyo mchaga wala si mkaskazini kama sera iliyonyuma ya pazia ya chadema inavyoelekeza. Kuna watu wanaotumiwa kumchafua zitto,zitto anatakiwa atambue kuwa kuna kundi kubwa sana linalomsupport kuliko hata hawa vikaragosi,wapuuze na endeleza mapambano dhidi ya huu udhalimu wa wachache! Sisi huku mkoa wa mara tunakukubali sana na tutaendesha kampeni kanda ya ziwa yote dhidi ya huu uonevu,wewe ni jembe!
Wewe kwa sasa kati ya Mnyika na Zitto wadhani yupi bora??
Udini, ukanda na ukabila ndio slogan maalum ya kundi la PM7 kwa mujibu wa ushahidi uliowatoa mafichoni kundi la masalia.
Na hii ID za Pilitoni na Ally Kanah ni mojawapo ya ID 20 zinazofanya kazi maalum hapa JF kwa niaba ya kundi la uasi la PM7 ili kuhakikisha kwamba bosi wao anapewa kila aina ya utukufu wakati hastahili kabisa kuendelea kuaminiwa kwa haya aliyoyafanya.
Je umahiri wa kujenga hoja ndio matokeo ya kuanzisha kundi la PM7?
kweli mumeishiwa hoja chadema kaskazinijamaa kwa kununua wafuasi yupo fiti
Acha kupotosha wewe Chadema hakuna makundi wala udini wala kuchafuana, Chadema ni chama makini kimejaa vijana wasomi...Cc to WABHEJASANA,
ni kweli mkuu,muulize juliana shonza yeye amebaki kufanya vikao vyake nje ya chama kama makamu m/kiti Bavicha. Yeye ameamua kutetea zitto badala ya vijana.Ukweli upo wazi.zitto nitishio kwa wenye chadema.
bora kwa lipi? kama kwa kuibua hoja nzito za kitaifa na zenyekuleta matokeo,sijaonaga zaid ya kabwe zitto,subirini bunge la mwezi wa kwanza,munacheza na zitto nyie ile ni habari nyingine,Angalia bunge lililopita,hoja kama ya mkonge,kutokuwa na imani na waziri mkuu,na hii ya mabillioni ya uswiss,ebu nitajie hoja tatu za mnyika.Mnyika ni mwanafunzi wa zitto[/QUO YES!
kweli mumeishiwa hoja chadema kaskazini