Hapa kijijini bado tunasubiri ile ahadi ya Milioni 50, sasa wale wa Mjini Kawe sijui weshanufaika?
Hakuna Chama kilichojaa viongozi waongo kama CCM wao ni ahadi kwa kwenda mbele,wameshaona watanzania ukiwaahidi wanapumbaa na kusubiri ahadi na hata kama hutaitimiza wao wanakuahidi lingine.
Tunataka tume huru ya Uchaguzi.
Hakuna Chama kilichojaa viongozi waongo kama CCM wao ni ahadi kwa kwenda mbele,wameshaona watanzania ukiwaahidi wanapumbaa na kusubiri ahadi na hata kama hutaitimiza wao wanakuahidi lingine.
Tunataka tume huru ya Uchaguzi.