Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,200
- 99,934
Dah nimeishia kucheka tu, basi sawaAbubakar Mbowe
Dah nimeishia kucheka tu, basi sawaAbubakar Mbowe
Na wale walosema, rudi na mavi yako nyumban, mara mpaka tuwape mimba wake zenu ndo mjue tunafanya kaz, mara zito anastahili kuuwawa, mara sasa hivi hatutumii risasa ni sindano ya sumu tu. Jitathmini sana acha mahaba ya uchama, Tanzania ni yetu site.Yaani Mbowe alipoanza kumtukana marehemu hadharani na kumkashifu akiwajumuisha na wasukuma wote nilikidharau sana chama chake.
Bora tuendelee na ccm walahi.
Tuchanganye zetu sote,ili wazidi kuumbuka,tatizo Miccm haikosi cha kudanganya,wana hiari hata watumbuane alimuradi waonekane wapo katika mstari,yupo wapi Chakubanga na Bushiri wakiipamba CCM kwa kila rangi.Za kuambiwa changanya na za kwako...