Mtakaoishi hadi 2050 hii neema kwenu

geophysics

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
904
166
t1larg.sonic.star.jpg
Concord wanakuja na kitu kipya... Kwa dege hili Dar es salaam dubai au dar Heathrow International Airport si zaidi ya dakika arobaini na tano: Source Race to be first with 'son of supersonic' - CNN.com
 
Kwaweli hizo ni hatari kabisa!...Lakini kitakachotisha zaidi ni bei za safari zake!
 
Sijui kama tuta- afford maana hiyo atc hivi sasa haina hata ndege moja sembuse kumiliki concord?
 
Am glad wameipeleka mbali huko....mkulu hataiwahi aslani....imagine 45 min uko New York huyu jamaa si atakuwa analala huko na kuja kazini asubuhi

t1larg.sonic.star.jpg
 
Back
Top Bottom