Mtakaoishi hadi 2050 hii neema kwenu

Am glad wameipeleka mbali huko....mkulu hataiwahi aslani....imagine 45 min uko New York huyu jamaa si atakuwa analala huko na kuja kazini asubuhi
t1larg.sonic.star.jpg
Teh teh..dah!wkend yangu imeanza vizuri..
 
Mfumo wa elimu yetu unaitaj renovation kubwa sana..otherwise mambo kama haya tutakua tunayasikia kwa wenzetu tu..

Tuache mambo ya kusoma na kukalili na kufanya mitihan tuwekeze kwenye elimu ya uvumbuzi hii itatoa ajira nyingi na kutupa mwanga wa kuvumbua vitu vyetu...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom