Charles1990
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 249
- 46
[/COLOR][/B]
- Aidea haitolewi kama Dawa vile, si sawa na kusema unaumwa kichwa watuwakakwambia kunywa Paracetamol, panadol, Aidea ya biashara nin kitu kinginekabisa Dada, huwezi kuwa mwanza mtu yuko Dar ukampa wazo la biashara,
1. Nitakua nimejua vipi mazingira ya huko?
Hapa ni kudanganyana na hii kitu haipo mahali popote pale duniani zaidiya hapa kwamba unaweza mpigia mtu wewe uko Arusha na yeye Dar ukamshauri anzekufanya biashara fulani,
- Na hilo la Bodaboda si business aidea, aidea gani.
Your English teacher REALLY failed you.