Mtaji wa mil 50 anaomba ushauri wa kibiashara.

Chimemena

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,376
452
Habari wandugu.!!
Mama yetu amestaafu na kufanikiwa kupata mafao yake tsh 150 million, katika hilo kachukua mil 50 na kuweka fixed deposite crdb, 20 kawekeza kwenye kumalizia nyumba yake mpya, 20 kagawa kwetu sisi watoto na matumizi mengine madogo madogo, mil 5 kanunua pkpk 2 zinazotumika kubebea abiria, So mil 50 anataka kuwekeza kwenye biashara kubwa ambayo itaweza kumjenga na kuondokana na hali ya utegemezi hapo baadae.
Je ni biashara gani anaweza kuifanya kwa maeneo haya alipo (Songea) ambayo haihitaji mambo mengi sana wala yasiyo magumu.
Baba alishafariki, watoto wa3 wa kikie na 1 kiume.
 
Fixed ya TPB ina more competitive rates kuliko ya CRDB. Akimaliza mkupuo wa kwanza anaweza kuwajaribu TPB.
 
Ahsante abdul.!
Je kwa mil 50 anaweza fanya kitu gani endelevu?
 
...Pikipiki 2 milioni 5? Ni aina gani hizo? Mumlinde sana mama na hizo hela asije akaingizwa mjini kwenye baadhi ya mambo! Sisemi nyinyi lakini zipo familia ambazo hata watoto wanaweza kumuingiza mjini mama yao kwa kumuambia, kwa mfano, atoe hela wakanunue pikipiki bei shs Milioni 2.5 na wakanunua pikipiki ya Milioni 1.8..!:eek:hwell:
 
...Pikipiki 2 milioni 5? Ni aina gani hizo? Mumlinde sana mama na hizo hela asije akaingizwa mjini kwenye baadhi ya mambo! Sisemi nyinyi lakini zipo familia ambazo hata watoto wanaweza kumuingiza mjini mama yao kwa kumuambia, kwa mfano, atoe hela wakanunue pikipiki bei shs Milioni 2.5 na wakanunua pikipiki ya Milioni 1.8..!:eek:hwell:

ni kweli kaka:
pikipiki zimenunuliwa mil 1.85 @ 1.
Lakini hyo budget ya ml 5 haijtumika yote ilipangwa tu
 
Fixed ya TPB ina more competitive rates kuliko ya CRDB. Akimaliza mkupuo wa kwanza anaweza kuwajaribu TPB.


...Hebu tuwekee wazi Mkuu Usaidie na wengine. Kwa mfano hiyo Mil 50 ya mama kwa FXD Dep Miezi Mitatu angebamba shs Ngapi hapo...?
 
Jambo jema kuwekeza katika fixed deposit wakati mtu unaendelea kudigest mawazo yako. Pia ni vizuri kutafuta mawazo humu jf. Lakini mwisho wa siku hizo ziwe data za ufahamu na si za kuchukulia maamuzi. Nashauri kwakuwa biashara au miradi ya kutumia 50 m ni mingi ni vema ukaonana na wataalamu wa uchumi na miradi, kwanza mujadili pamoja (consultation kati yenu na mtaalamu) ambapo hapo pata ibua mengi na hatimaye mtafikia mwafaka wa nini kifanyike kwanza kama precautions and other business development aspects.
Nishauri pia kwa wengine wengi, tunatumia jf kama general consultancy unit, lakini speciafically lazima tuwe na mtu mmoja/kampuni moja ambaye ataprove uwezo wake wa kuchambua business ideas relevant to business owner na aspects zinginenezo. Ndani ya jf hakika tunapata mengi ya maana na ya kutia moyo, but ni vema pia kwenda beyond ili kupata uhakika zaidi.
Unaweza kunipm ili tujue cha kufanya next au 0652656565
 
...Hebu tuwekee wazi Mkuu Usaidie na wengine. Kwa mfano hiyo Mil 50 ya mama kwa FXD Dep Miezi Mitatu angebamba shs Ngapi hapo...?
Mkuu mimi nimejaribu TPB nimeambiwa rate ya mwaka ni 8%. CRDB wao niliambiwa for the same ni 5%. Sijajaribu hizo za miezi 3 au 6 lakini nina uhakika TPB itakua juu zaidi kuliko CRDB. Unaweza ukajaribu benki nyingine ukasikiliza packages zao pia.
 
Kw sbb ni mama anunue gari Fuso then atengeneze mtandao wa biashara baina ya Dar na Songea, mfn anaweza kubeba mazao to Dar then kw Songea akawa wakala wa maji na juice. Hapa sim ndio inafanya kazi yeye ametulia tu dukani au stoo.
 
Back
Top Bottom