Jiandae kua rafiki na PolisiAsalaam aleykum
Ndugu zangu ninaplan yakufungua night bar
Ambayo itakuwa inauza vinywaji mbalimbali pamoja na vyakula mbalimbali kama nyama choma, chips chapati nakila aina ya vyakula vya jioni .
Kwa ushauri na kubadilishana mawazo na some experiance.
Umetisha, akiweka wazamini lazima apate watejaUsisahau kuweka TOTOZ kalii zenye mikia, afu utupe location
Kwanini mkuuJiandae kua rafiki na Polisi
anza biashara hiyo harafu urudi hapaKwanini mkuu niwe marafiki na mapolisi
Mkuu tena totoz lazima iwe na chira kiacUmetisha, akiweka wazamini lazima apate wateja
Hhhhh nitajitahidiUsisahau kuweka na bangi
Ukiwa za hilo hutokaa ufanye biashara.Hiyo ni biashara ya shetani. Achana nayo ama kamwe hautabarikiwa na ufalme wa milele hautauona. Utakua pamoja na shetani katika moto wa Jahannam. U will burn in Hell!!!! U will burn in hell!!!!!!
Asante kwa dondoo hizi muhimu.Nenda halmashauri kapate kibali cha vinywaji vikali, TFDA, leseni ya biashara.
Lakini kabla hujapata leseni nenda TRA upewe tax clearance ili halmashauri waweze kukupa leseni.
Baada ya hapo ni kuanzisha bar yako kama kawaida.
Nikianza biashara ntaku PM tupeane uzoefu juu ya biashara hiiNenda halmashauri kapate kibali cha vinywaji vikali, TFDA, leseni ya biashara.
Lakini kabla hujapata leseni nenda TRA upewe tax clearance ili halmashauri waweze kukupa leseni.
Baada ya hapo ni kuanzisha bar yako kama kawaida.