Mtaji na Faida ya Biashara ya Grocery

1) Wahudumu wawe wakarii

2) Kila baada ya miezi miwili jaribu kubadilisha wahudumu sio kwa mkupuo mmoja mmoja

3)Usitembee na wafanyakazi wako utawapa kiburi

MO11,
Mbona ushauri wako sio makini? Haswa na 3. Asitembee nao kivipi? Mwambie asiwepo hata mmoja ambaye hajampa interview, chooni na ofisini ili ajue kuwafurahisha wateja. Angalia saloon za siku hizi. Ni zipi zinavuma??
Kama ana mke, mkewe awe mstari wa mbele kuwakuwadia hao ma baa meidi. Hakiki watajaa humo. Hakuna kimbola wala hirizi. Vyumba vya pembeni viwe vingi tu, akikosa kwenye pombe, apate makandokando.
Yaani, biashara ya baa na makandokando ni kitu na njombaake.
 
pombe ni biashara iliyolaaniwa.tafuta mtu yeyote aliyefanikiwa kwa kufanya biashara ya baa.wengi wana biashara zingine zinazowapa sapoti .tafuta aliyefanya baa yenyewe afu angalia mwisho wake ulikuaje afu njoo ns majibu hapa
 
MO=umenena kaka hakuna kumtisha mtu hapa kwani hapa dar biashara ya bar,pub ndizo zinalipa zaidi hakuna kumdanganya mkuu wetu,kwanza boss kama una uwezo wako tafuta site bomba yenye watu halafu pamechangamka halafu watu walio na msimamo na kazi ndio wafanyakazi bora,naweza kukuletea watu sahihi KATIKA kazi /boss fanya yako usimsikilize mtu hapa ila naamini ukisikiliza maoni yetu unapaswa kuchanganya na yako naamini utafika unapopataka mwaka huu 2015 tena kwa shangwe..
 
Kwani nami nipo njiani kuanzisha bar yangu maeneo ya ilala kwani nimepata site bomba pale tena naamini nitakuwa nalaza mpaka morning ,biashara haihitaji uwoga badala yake uvumilivu ndio nguzo pekee hapa maishani tena bila tatizo naamini tutafikia malengo..
 
MO11,
Mbona ushauri wako sio makini? Haswa na 3. Asitembee nao kivipi? Mwambie asiwepo hata mmoja ambaye hajampa interview, chooni na ofisini ili ajue kuwafurahisha wateja. Angalia saloon za siku hizi. Ni zipi zinavuma??
Kama ana mke, mkewe awe mstari wa mbele kuwakuwadia hao ma baa meidi. Hakiki watajaa humo. Hakuna kimbola wala hirizi. Vyumba vya pembeni viwe vingi tu, akikosa kwenye pombe, apate makandokando.
Yaani, biashara ya baa na makandokando ni kitu na njombaake.

Unasikitisha sana aisee.MUNGU akurehemu.
 
Unasikitisha sana aisee.MUNGU akurehemu.

The mountain lion;
Nimekutenda nini mkuu. Mbona unaniombea rehema kwa Mungu?? Nimekosea nini hapo? Ka mtu na akili ake anaona vyema auze pombe tena afungue bar. Unadhani ni familia ngapi zitaangamia kwa sababu ya hiyo bar? Watoto wangapi watalala njaa kwa sababu wazazi wamezinywa zoote? Siungi mkono mtu kuanzisha biashara hiyo, hata zilizopo ningetamani zifungwe ziwe nyumba za swalaaa. Weye ndo nakuombe rehema
 
Kama hauungi mkono biashara hii ni jambo jema sana.Ila kwenye post yako nimeona ukitoa mbinu za kufanya hii biashara na zinasikitisha sana.Mambo ya kumtumia mke kuwa kuwadi na mengineyo si mambo mema na ni chukizo kwa MUNGU na ndo maana nikaomba rehema kwa mwenyezi MUNGU.
 
MO11,
Mbona ushauri wako sio makini? Haswa na 3. Asitembee nao kivipi? Mwambie asiwepo hata mmoja ambaye hajampa interview, chooni na ofisini ili ajue kuwafurahisha wateja. Angalia saloon za siku hizi. Ni zipi zinavuma??
Kama ana mke, mkewe awe mstari wa mbele kuwakuwadia hao ma baa meidi. Hakiki watajaa humo. Hakuna kimbola wala hirizi. Vyumba vya pembeni viwe vingi tu, akikosa kwenye pombe, apate makandokando.
Yaani, biashara ya baa na makandokando ni kitu na njombaake.

The mountain lion;
Nimekutenda nini mkuu. Mbona unaniombea rehema kwa Mungu?? Nimekosea nini hapo? Ka mtu na akili ake anaona vyema auze pombe tena afungue bar. Unadhani ni familia ngapi zitaangamia kwa sababu ya hiyo bar? Watoto wangapi watalala njaa kwa sababu wazazi wamezinywa zoote? Siungi mkono mtu kuanzisha biashara hiyo, hata zilizopo ningetamani zifungwe ziwe nyumba za swalaaa. Weye ndo nakuombe rehema

Kama hauungi mkono biashara hii ni jambo jema sana.Ila kwenye post yako umeonyesha kuiunga mkono kwa kutoa mbinu za kufanya hiyo biashara na zinasikitisha sana ndo maana nikakuombea rehema kwa mwenyezi MUNGU.
Pole sana kama nimekusikitisha kwa hilo mkuu ila sina ugomvi wala chuki na wewe.
 
Habari wadau, natumai mu wazima humu,

Kwanza napenda kuwashukuru kwa michango ambayo wadau mbalimbali wanatoa humu jamvini. Ni dhahiri kuwa forum hii inawasaidia watu wengi ambao wanaingia kwenye biashara mbalimbali na ambao wanafanya biashara mbalimbali sababu inajulikana kuwa biashara huwa zina changamoto mbalimbali ndani na nje ya biashara husika.

Okay turudi kwenye mada husika kama inavyojieleza hapo juu binafsi ningependa wadau, wajuvi, wataalamu na wazoefu wa mambo ya Night Clubs Tanzania waje watusaidie hapa.

Tusaidiane kujua changamoto, faida, hasara, ujanja na utaalamu wa kuendesha Bar kubwa, Sport Bar pamoja na Night Club kwa Tanzania hasa mkoa wa Dar.

Nimejaribu kutembelea viwanja vingi kama vile Tripple 7, La Chaz, Tips, Maisha Basement, Rapsody, Akemi, Escape One nimegundua kuwa hawa jamaa wanatengeneza fedha za kutosha tu ambapo itamfanya Mtanzania yeyote awekeze kwenye biashara hii.

Najua uzi huu utawasaidia wengi wenye ndoto ya kuwa na Bar au Night Club nchini hivyo basi wadau tufanye huu ndio uzi wetu wa kujadiliana kuhusu biashara hii ambayo inaonekana inapendwa sana na watu.

Nawasilisha Mada Jamvini
 
Back
Top Bottom