Mtajeni Mwanasiasa Aliyetema Pumba Zaidi 2012

Mtajeni Mwanasiasa Aliyetema Pumba Zaidi 2012

matasha

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
378
Reaction score
400
Wakati tukisaka wanasiasa bora na waliofanya kazi zaidi mwaka 2012, nadhani ni bora tuwataje pia wanasiasa waliotia fora kwa pumba nyingi zaidi. Tupendekeze majina halafu nitawaweka kwenye poll. Mimi binafsi nampendekeza Cyprian Majura Musiba kama mwanasiasa aliyetema pumba zaidi mwaka huu. Naomba majina mengine wadau
 
Baadhi ya pumba za Musiba za hivi karibuni kabisa yaani leo ni hizi zifuatazo - angalia fb yake

Nimefuatilia kwa makini sakata la kijana anayedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa kambi ya Monduli kupiga picha na wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Yapo mambo yanayotia mashaka juu ya magwanda hayo na tukio zima kwa ujumla.

Chadema walilenga nini kumtumia kijana huyo na gwanda lake?? Je,, kwa upande mwingine Chadema wameamua kulibip Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Watanzania? je ni kweli CHADEMA tyr wana Silaa na Sare za Jeshi nyingi wanazihifadhi Mbezi.

Hapo ndipo tutajua umakini wao. Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.
...

Kwa mujibu wa VYanzo vyangu vya habari kutoka katika chombo hicho kikubwa cha ulinzi wa nchi na mipaka yake,wamesema askari walioko kikosi cha Monduli hakuna jina kama hilo na hawajawahi kusikia wala kuona kijana kama huyo hata katika vyuo vya kijeshi hapa nchini.

Lakini kibaya zaidi kijana huyo alipoulizwa na kuhojiwa na wazee wa Amani kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama wa raia na Mali zake kwa kuanza wakianza kumuuliza yeye ni depo gani alishindwa kujibu na hata hajui maana ya depo ama inteki gani hajui kabisa,alipoendelea kuulizwa ww namba yako ya jeshi ni namba gani ama umemaliza elimu ya kijeshi lini hajui wala hajawahi kusikia habari za namba.

Lakini kibaya zaidi habari za kuaminika zinasema kijana huyu anafanya kazi pale Club Billicanas Posta Dar-es-salaam club ambayo inamilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Alkael Mbowe na hiyo ilikuwa ni njama za kuwahadaa wananchi juu ya kwamba JWTZ wameanza kuingia ndani yake.

HABARI Za Chadema kuwa na mipango ya kuviyumbisha na kuvichafua vyombo vya Dola ni mbinu waliyopewa na Wajerumani na Waingereza katika kikao chao mwaka jana jijini Arusha ambapo pia waliwapa maagizo ya kuhakikisha kwamba wanakesha katika mitandao wakiitukana Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.

Je Chadema kufanya utoto huu na upuuzi huu tena kupitia vyombo vya habari ni kuvidharau vyombo vya Ulinzi ambavyo hata wao vinawalinda? je hao wazungu wanaowapa mbinu hii wanawalipa kiasi gani na huyo kijana inasemekana amepewa milioni 2 tu hata hakufikiria kama jela inamkaribia.

Kwa suala hili wale wote Lema,Nassar wanapaswa kukamatwa na kuhojiwa na vyombo vya dola lakini wajue kuwa yule kijana atasema ukweli wote haya niliyoyasema ni machache sana wataumbuka na ujanja wao utaishia pabaya.

Tafakari na chukua hatua
#########################################
Tahadhari na Angalizo kwa Wananchi na Watanzania kwa ujumla:

CHADEMA ni HATARI

...Uchaguzi wa 2010 walisambaza jumbe mbalimbali kwa sms maneno haya yalikuwe "...tuangane kumung'oa MJAHIDINA ikulu, ...mchague Dr.Slaa"
... zingine zilisomeka ...usiruhusu MJAHIDINA abaki ikulu mchague Dr. slaa"
je umeona sahizi walivyobadili mbinu umeona wanavyo shabikia migomo ya madaktari na walimu? wanasambaza SMS kwa watu juu ya Madaktari na Walimu:

Wanasambaza na Kupotosha watu ili waamini ujinga kwa kusema DK Ulimboka ametekwa na Serikali:

Najiuliza Kifo cha CHACHA WANGWE
Najiuliza Kifo cha Rejia Mtema

Mbona hatukusikia Chadema wakipotosha watu juu ya Vifo hivyo? pamoja na ukweli uliojificha juu ya vifo hivyo..

Hivi wanaosema cdm ni chama cha wakristo ni waongo? Somalia ilianza kama utani Leo hakuna Serikali..Misri na Libya walianza kama utani kwa kusaidiwa na Nchi za Magharibi kufanya Upotoshaji kama huu mwishowe nchi hizi leo hazina utulivu Tena..Angalia Syria na Nchi za Magharibi zinavyoendelea kuitafuna na leo wananchi wake wasio na Hatia hawalali wala kufanya Shughuli za Maendeleo:Kisa Madaraka na Vyeo:

Ni upungufu wa Hekima na Busara kuamini upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watanzania wanaojiita wanauchungu na Nchi Chadema..kama mna uchungu >>Mkajifungue>>

Tudumishe Umoja Amani na Mshikamano wetu chadema wana lao jambo mwisho wake ni maafa

 
Kagasheki na lile sakata la kufungiwa kwa Blue Tree hotel.. Ametema pumba sana kudai hoteli iachwe iendelee kutiririsha kinyesi baharini ili tusiwakere watalii.
 
Soma signature ya Ritz.
 
Last edited by a moderator:
mwenyekiti wa ccm mkoa wa geita joseph msukuma kwa kuwakataza wananchi wasifanye usafi kwenye maeneo yao eti hiyo ni kazi ya mabwana afya
 
Baadhi ya pumba za Musiba za hivi karibuni kabisa yaani leo ni hizi zifuatazo - angalia fb yake

Nimefuatilia kwa makini sakata la kijana anayedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa kambi ya Monduli kupiga picha na wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Yapo mambo yanayotia mashaka juu ya magwanda hayo na tukio zima kwa ujumla.

Chadema walilenga nini kumtumia kijana huyo na gwanda lake?? Je,, kwa upande mwingine Chadema wameamua kulibip Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Watanzania? je ni kweli CHADEMA tyr wana Silaa na Sare za Jeshi nyingi wanazihifadhi Mbezi.

Hapo ndipo tutajua umakini wao. Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.
...

Kwa mujibu wa VYanzo vyangu vya habari kutoka katika chombo hicho kikubwa cha ulinzi wa nchi na mipaka yake,wamesema askari walioko kikosi cha Monduli hakuna jina kama hilo na hawajawahi kusikia wala kuona kijana kama huyo hata katika vyuo vya kijeshi hapa nchini.

Lakini kibaya zaidi kijana huyo alipoulizwa na kuhojiwa na wazee wa Amani kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama wa raia na Mali zake kwa kuanza wakianza kumuuliza yeye ni depo gani alishindwa kujibu na hata hajui maana ya depo ama inteki gani hajui kabisa,alipoendelea kuulizwa ww namba yako ya jeshi ni namba gani ama umemaliza elimu ya kijeshi lini hajui wala hajawahi kusikia habari za namba.

Lakini kibaya zaidi habari za kuaminika zinasema kijana huyu anafanya kazi pale Club Billicanas Posta Dar-es-salaam club ambayo inamilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Alkael Mbowe na hiyo ilikuwa ni njama za kuwahadaa wananchi juu ya kwamba JWTZ wameanza kuingia ndani yake.

HABARI Za Chadema kuwa na mipango ya kuviyumbisha na kuvichafua vyombo vya Dola ni mbinu waliyopewa na Wajerumani na Waingereza katika kikao chao mwaka jana jijini Arusha ambapo pia waliwapa maagizo ya kuhakikisha kwamba wanakesha katika mitandao wakiitukana Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.

Je Chadema kufanya utoto huu na upuuzi huu tena kupitia vyombo vya habari ni kuvidharau vyombo vya Ulinzi ambavyo hata wao vinawalinda? je hao wazungu wanaowapa mbinu hii wanawalipa kiasi gani na huyo kijana inasemekana amepewa milioni 2 tu hata hakufikiria kama jela inamkaribia.

Kwa suala hili wale wote Lema,Nassar wanapaswa kukamatwa na kuhojiwa na vyombo vya dola lakini wajue kuwa yule kijana atasema ukweli wote haya niliyoyasema ni machache sana wataumbuka na ujanja wao utaishia pabaya.

Tafakari na chukua hatua
#########################################
Tahadhari na Angalizo kwa Wananchi na Watanzania kwa ujumla:

CHADEMA ni HATARI

...Uchaguzi wa 2010 walisambaza jumbe mbalimbali kwa sms maneno haya yalikuwe "...tuangane kumung'oa MJAHIDINA ikulu, ...mchague Dr.Slaa"
... zingine zilisomeka ...usiruhusu MJAHIDINA abaki ikulu mchague Dr. slaa"
je umeona sahizi walivyobadili mbinu umeona wanavyo shabikia migomo ya madaktari na walimu? wanasambaza SMS kwa watu juu ya Madaktari na Walimu:

Wanasambaza na Kupotosha watu ili waamini ujinga kwa kusema DK Ulimboka ametekwa na Serikali:

Najiuliza Kifo cha CHACHA WANGWE
Najiuliza Kifo cha Rejia Mtema

Mbona hatukusikia Chadema wakipotosha watu juu ya Vifo hivyo? pamoja na ukweli uliojificha juu ya vifo hivyo..

Hivi wanaosema cdm ni chama cha wakristo ni waongo? Somalia ilianza kama utani Leo hakuna Serikali..Misri na Libya walianza kama utani kwa kusaidiwa na Nchi za Magharibi kufanya Upotoshaji kama huu mwishowe nchi hizi leo hazina utulivu Tena..Angalia Syria na Nchi za Magharibi zinavyoendelea kuitafuna na leo wananchi wake wasio na Hatia hawalali wala kufanya Shughuli za Maendeleo:Kisa Madaraka na Vyeo:

Ni upungufu wa Hekima na Busara kuamini upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watanzania wanaojiita wanauchungu na Nchi Chadema..kama mna uchungu >>Mkajifungue>>

Tudumishe Umoja Amani na Mshikamano wetu chadema wana lao jambo mwisho wake ni maafa





acha kupeleka akili likizo mbona umeeambiwa utje majina ya waliotoa pumba wewe unazungumzia vitu tofauti.
nenda kwa sangoma akutoe hizo kamasi maana naona zimekuzidia.wewe ni zero brain
 
magufuli ndio mwanasiasa aliyeongea pumba zaidi... alisema wakazi wa kigamboni wapige mbizi kama hawana shilingi mia mbili ya kuvuka kwenye kivuko.
 
Kwa upande wangu the comic so called politician wa mwaka namba moja ni Air head Nape Nauye, kila inapotokea press release zake au statement zake ninafaajika kwa kuwa Tanzania tumeweza kuweka Cartoon mkubwa akiwa ndie katibu mwenezi..nitakusanya soon baadhi ya machapisho yake yanayoonyesha uwezo wake wa kufikiri.
 
Baadhi ya pumba za Musiba za hivi karibuni kabisa yaani leo ni hizi zifuatazo - angalia fb yake

Nimefuatilia kwa makini sakata la kijana anayedaiwa kuwa ni mwanajeshi wa kambi ya Monduli kupiga picha na wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Yapo mambo yanayotia mashaka juu ya magwanda hayo na tukio zima kwa ujumla.

Chadema walilenga nini kumtumia kijana huyo na gwanda lake?? Je,, kwa upande mwingine Chadema wameamua kulibip Jeshi la Ulinzi la wananchi wa Watanzania? je ni kweli CHADEMA tyr wana Silaa na Sare za Jeshi nyingi wanazihifadhi Mbezi.

Hapo ndipo tutajua umakini wao. Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.
...

Kwa mujibu wa VYanzo vyangu vya habari kutoka katika chombo hicho kikubwa cha ulinzi wa nchi na mipaka yake,wamesema askari walioko kikosi cha Monduli hakuna jina kama hilo na hawajawahi kusikia wala kuona kijana kama huyo hata katika vyuo vya kijeshi hapa nchini.

Lakini kibaya zaidi kijana huyo alipoulizwa na kuhojiwa na wazee wa Amani kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama wa raia na Mali zake kwa kuanza wakianza kumuuliza yeye ni depo gani alishindwa kujibu na hata hajui maana ya depo ama inteki gani hajui kabisa,alipoendelea kuulizwa ww namba yako ya jeshi ni namba gani ama umemaliza elimu ya kijeshi lini hajui wala hajawahi kusikia habari za namba.

Lakini kibaya zaidi habari za kuaminika zinasema kijana huyu anafanya kazi pale Club Billicanas Posta Dar-es-salaam club ambayo inamilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Alkael Mbowe na hiyo ilikuwa ni njama za kuwahadaa wananchi juu ya kwamba JWTZ wameanza kuingia ndani yake.

HABARI Za Chadema kuwa na mipango ya kuviyumbisha na kuvichafua vyombo vya Dola ni mbinu waliyopewa na Wajerumani na Waingereza katika kikao chao mwaka jana jijini Arusha ambapo pia waliwapa maagizo ya kuhakikisha kwamba wanakesha katika mitandao wakiitukana Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ninavyojua na wengi tunavyojua,, wanajeshi hawaruhusiwi kuwa washabiki wa chama chochote cha siasa,, na kama kweli ni mwanajeshi mzalendo aliyeiva hawezi kukubali kuvunja sheria zinazomuongoza.

Je Chadema kufanya utoto huu na upuuzi huu tena kupitia vyombo vya habari ni kuvidharau vyombo vya Ulinzi ambavyo hata wao vinawalinda? je hao wazungu wanaowapa mbinu hii wanawalipa kiasi gani na huyo kijana inasemekana amepewa milioni 2 tu hata hakufikiria kama jela inamkaribia.

Kwa suala hili wale wote Lema,Nassar wanapaswa kukamatwa na kuhojiwa na vyombo vya dola lakini wajue kuwa yule kijana atasema ukweli wote haya niliyoyasema ni machache sana wataumbuka na ujanja wao utaishia pabaya.

Tafakari na chukua hatua
#########################################
Tahadhari na Angalizo kwa Wananchi na Watanzania kwa ujumla:

CHADEMA ni HATARI

...Uchaguzi wa 2010 walisambaza jumbe mbalimbali kwa sms maneno haya yalikuwe "...tuangane kumung'oa MJAHIDINA ikulu, ...mchague Dr.Slaa"
... zingine zilisomeka ...usiruhusu MJAHIDINA abaki ikulu mchague Dr. slaa"
je umeona sahizi walivyobadili mbinu umeona wanavyo shabikia migomo ya madaktari na walimu? wanasambaza SMS kwa watu juu ya Madaktari na Walimu:

Wanasambaza na Kupotosha watu ili waamini ujinga kwa kusema DK Ulimboka ametekwa na Serikali:

Najiuliza Kifo cha CHACHA WANGWE
Najiuliza Kifo cha Rejia Mtema

Mbona hatukusikia Chadema wakipotosha watu juu ya Vifo hivyo? pamoja na ukweli uliojificha juu ya vifo hivyo..

Hivi wanaosema cdm ni chama cha wakristo ni waongo? Somalia ilianza kama utani Leo hakuna Serikali..Misri na Libya walianza kama utani kwa kusaidiwa na Nchi za Magharibi kufanya Upotoshaji kama huu mwishowe nchi hizi leo hazina utulivu Tena..Angalia Syria na Nchi za Magharibi zinavyoendelea kuitafuna na leo wananchi wake wasio na Hatia hawalali wala kufanya Shughuli za Maendeleo:Kisa Madaraka na Vyeo:

Ni upungufu wa Hekima na Busara kuamini upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watanzania wanaojiita wanauchungu na Nchi Chadema..kama mna uchungu >>Mkajifungue>>

Tudumishe Umoja Amani na Mshikamano wetu chadema wana lao jambo mwisho wake ni maafa


kweli wewe ni makanjanja kutoka kibarazani kwa nape.
unahitaji kuangaliwa vizuri.
mbona umejibu toauti na post hapo juu?
uwapumbaze na kuwaenezea wenye bongo ambazo ni paralysed kama wako!!!!!!!!!!!!!!
Tudumishe Umoja Amani na Mshikamano wetu chadema wana lao jambo mwisho wake ni maafa
hii amani unayozungumzia ni ipi? yakulala njaa? au yawatu kukandamizwa na serikali dhalimu ya ccm?
si zaidi ya maafa ambayo ccm imewahadaa nayo wananchi kwa kibwagizo cha maisha bora kwa kila mtanzania?
sukari 2005/kilo tsh 600/ 2012/ tsh 2000 kilo
mchele 700 2300 kilo
mfuko wa sementi 6500/ 15000 mfuko kwa mfuko
mafuta ya
kupikia ltr 10 6500 26000 ltr 10
" " ltr 20 13000 52500 ltr 20
bati tsh 4500 @ pc 14500

huo utulivu na amani unaozungumzia ni upi? kufukuza raia kwenye ardhi zao? na kuwanyima haki ya kulima hata kilimo cha kujikimu ?mfano wilaya ya Ngorongoro jamii ya wamasai wamekufa kwa njaa na watoto kwa kwashakoo na wamenyimwa hata kulima kilimo cha kujikimu.
walioficha fedha nje ya nchi pamoja na waliofisadi nchi hii wanaendelea neemeka kwa migongo ya walala hoi hiyo ni amani au utulivu?
mambo ni mengi hayatoshi kuenea hapa
Mungu angekuwa anahukumu vinywa na bongo za wanadamu kwa kuzifungia kufikiri wakwanza angekuwa ni wewe
 
Mwigulu Nchemba,anajiita mchumi aliyebobea lakini ushauri wake kwa uchumi wetu ni kufunga na kuomba
 
aiseeeeeeee babayangu mbona mmemsahau baba rizi1 anaye taka kula lazima aliwe
 
Nape na hoja zake, pumba nzito ya Nape ni hoja ya kumiliki kadi ya CCM Dr. Slaa.
 
Back
Top Bottom