Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,028
- 52,505
ahahahaaababy care, family care,
ahahahaaababy care, family care,
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 siku zingine napaka naya Nazi kwenye ngoziahahahaaa
Well, ni hivi hiyo picha inaonesha matumizi mabaya ya mikorogo, kiasi kwamba vidole vimefikia hadi kufanana na ndizi zilivyo babuka,Nawe pia mkuu hukunielewa,hiyo picha inafananisha mikono ya mtu na ndizi ila imechukuliwa kawaida tu na ndipo nikauliza mfano tungeweka picha ya mtu mweusi na tukaonganisha na picha ya tairi la gari je,unafikiri hali ingekuaje humu?
Hhahhhaha nahisi alikuibia kwenye table yako, kibaya hakusoma jinsi ya kutumiaunajipaka mafuta gani chik
mimi ni natural beautyHhahhhaha nahisi alikuibia kwenye table yako, kibaya hakusoma jinsi ya kutumia
Hela ipo huku, nimekufungulia account kabisaaa,waje na hela

Mie sijatetea hayo ila najaribu kuonesha ni wapi tatizo linapoanzia maana watu weusi wengi hawaeleweki kuwa wanauchukulia weusi ni kama ulemavu au ni ngozi ya kawaida tu kama nyeupe na hakuna iliyobora kuliko mwenzie kati ya nyeusi na ngozi nyeupe?Well, ni hivi hiyo picha inaonesha matumizi mabaya ya mikorogo, kiasi kwamba vidole vimefikia hadi kufanana na ndizi zilivyo babuka,
So tupo hapa kukemea haya matumizi ya mikorogo!
Ndo maana ulipotoa mfano wako wa matairi ya gari nikashindwa kukuelewa, pengine ww unatetea haya
Tupo pamoja mkuu, tuache kumkufuru mungu.Mie sijatetea hayo ila najaribu kuonesha ni wapi tatizo linapoanzia maana watu weusi wengi hawaeleweki kuwa wanauchukulia weusi ni kama ulemavu au ni ngozi ya kawaida tu kama nyeupe na hakuna iliyobora kuliko mwenzie kati ya nyeusi na ngozi nyeupe?
Hawa hawa wenye kupinga mkorogo na kujivunia weusi ndiyo hucheka watu weusi sana.
Ni kweli tupo pamoja mkuu ila kama leo itokee Mungu aseme mtu mweusi achague kubaki na ngozi nyeusi au ambadilishe awe na ngozi nyeupe basi nadhani ni wachache tu ndiyo watakaokubali kubaki na ngozi yao nyeusi.Tupo pamoja mkuu, tuache kumkufuru mungu.
Kumbe wewe ni mwekezaji mzurisafi sana mke, nakupendea huo huo weusi wako
hayaHela ipo huku, nimekufungulia account kabisaaa,
Mwenye hela hachunwi bwana tunatoa sadaka tu![]()
![]()
Hadi wanaume mdau?Ni kweli tupo pamoja mkuu ila kama leo itokee Mungu aseme mtu mweusi achague kubaki na ngozi nyeusi au ambadilishe awe na ngozi nyeupe basi nadhani ni wachache tu ndiyo watakaokubali kubaki na ngozi yao nyeusi.
Hhahhahaha, hili nahisi dongo hiliNi kweli tupo pamoja mkuu ila kama leo itokee Mungu aseme mtu mweusi achague kubaki na ngozi nyeusi au ambadilishe awe na ngozi nyeupe basi nadhani ni wachache tu ndiyo watakaokubali kubaki na ngozi yao nyeusi.

Mmmhh acha umbea basi, umenifata hadi huku?Kumbe wewe ni mwekezaji mzuri



Ni hamu tu mkuhuo uroho acha aisee, unatamani kwa kuona?
Ndiyo mkuu,mbona hata wanaume wengine wanajibua pia kama wanawake.Hadi wanaume mdau?
Ni hamu tu mku
Nafikir hats wew ulishawahi kutaman kwa kuangalia
tena naangalia haswaa na vimate vya hamu hunitoka.