johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
- Thread starter
- #21
hahahhaha najua mganga hajigangi,mikono mizuri
hahahhaha najua mganga hajigangi,mikono mizuri
wala si kosa langu, kuna mtu kakusaliti kanitumia hii pichaUmeitoa wapi mikono yangu?
ha hahahhahahhaha najua mganga hajigangi,
Nitamkamata tuwala si kosa langu, kuna mtu kakusaliti kanitumia hii picha
otee mbeningependa nione hata kakucha kako 😛😛😛
Naweza kukufanya umtaje ni vile sijaamua tu. Hakuna mkate mgumu mbele ya chaihadi uje umpate sio leo, na wala simtaji, 🙂🙂🙂
teh teh teh teh, unaijua mikate ya yesu? migumuuuu ukiikata inalia kaahh. 😀😀Naweza kukufanya umtaje ni vile sijaamua tu. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai![]()
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
teh teh teh teh, unaijua mikate ya yesu? migumuuuu ukiikata inalia kaahh. 😀😀
mbembwe tu hizo ikitiwa kwenye chai inageuka ujiteh teh teh acha niisubirie maana si kwa kuisifia huko, 😀😀😀 ya tangawizi au ya mchai chai?
Umejuaje mie sijaelewa topic kwa kuuliza hivyo nilivyouliza?nadhani hujaelewa topic iliyopo ubaoni mkuu, pitia tena na pia ni ruksa kuandikia uzi hayo matairi yako
teh teh teh acha niisubirie maana si kwa kuisifia huko, 😀😀😀 ya tangawizi au ya mchai chai?
chai ni chai tu hata sukari ikiwa haijakolea bado inaitwa chai tuNow umekuja kwenye point! then angalia tena hiyo picha utaelewa maaana yanguLaiti kweli watu weusi tungekuwa tunajivunia weusi basi hata haya malamiko ya ubaguzi yangepunguwa.
Mmmhhh! hiyo itakuwa maji ya moto, chai hiyo siitaki mimi ipeleke kwingine![]()
chai ni chai tu hata sukari ikiwa haijakolea bado inaitwa chai tu
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app

hahahahahahahahahaha, hasa ukiwa unashika bakuli la mbege😛😛😛