mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
kuna wagonjwa wengi wa akili.Nimehangaika sana kusoma sentensi yako, lakini nilipoliona jina lako, sikushangaa. You're either insane ama purposeful ignorant.
jpm ametuachia.
kuna wagonjwa wengi wa akili.Nimehangaika sana kusoma sentensi yako, lakini nilipoliona jina lako, sikushangaa. You're either insane ama purposeful ignorant.
Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.Ndugai anasema serikali iliyopita ilikua na mambo ya ajabu kabisa.
Mwendazake aliwachukia matajiri na kuwabambikia kesi za uongo na aliahidi wataishi kama mashetani, kaja malaika anawatoa kuzimu na yeye anapelekwa hukoBaada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Kwa nini usijaenda Mirembe wakutibu, basi!??? Mbona huduma za hospital aliziboresha kwa ajili ya mikutuka kama wewe!???kuna wagonjwa wengi wa akili.
jpm ametuachia.
Hivi hawa matajiri walimwibia Nani?Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.
Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
mirembe huendi mwenyewe,ukiona hivyo wewe sio kichaa.Kwa nini usienda Mirembe wakutibu, basi!??? Mbona huduma za hospital aliziboresha kwa ajili ya mikutuka kama wewe!???
Hivi hawa matajiri walimwibia Nani?
Umesema kweli kabisa kwa sababu kwa hali yako hiyo ilivyo si hali, umeshindwa hata kujua umefungwa kamba na kushikiliwa na mabaunsa.mirembe huendi mwenyewe,ukiona hivyo wewe sio kichaa.
Aiseee wewe unazungumza kama yanayoongelewa mtaani.Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.
Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
Delila anatenda mema kwa WafilistiBaada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
😂😂😂 Hii nchi ina kero nyingi na raha nyingi....Ndugai anasema serikali iliyopita ilikua na mambo ya ajabu kabisa.
Huo ni mtaa gani?Mkuu mimi nimenukuu mitaani yanayosemwa, watu wamevurugwa.
Denial mbaya sana!!!we mcundu kibungo hawa mabwana zako hawakufungwa utawala wa jpm.
Baba jifunze kufuatilia vitu.Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.
^JPM kwa miaka 5 tu ametenda mambo makubwa mno ambayo mimi na wenzangu tulishindwa kuyafanya kwa miaka 40^ ~ alisikika Mstaafu mmoja hivi aliyepewa zawadi ya benzi.
Sawa watajificha kwenye skirt ya mama yako mzazi, wasije tu wakamla masaburiWezi na wakwepa kodi hao ndio aliwachukia! Hao unaowatetea wote wapo kundi hilo! Matajiri walipa kodi na wazalendo kama mzee Mengi (RIEP mzee) walikumbatiwa na shujaa Mh Dr JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏)!
Wezi na mafisadi, wakwepa kodi walikosa chaka la kujifichia! Sasa wanataka kujificha kwenye skirt ya mama 😡!
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.