Mtaani wanauliza, kwanini wanaoachiwa ni matajiri wenye kesi za ufisadi?

Ndugai anasema serikali iliyopita ilikua na mambo ya ajabu kabisa.
Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.

^JPM kwa miaka 5 tu ametenda mambo makubwa mno ambayo mimi na wenzangu tulishindwa kuyafanya kwa miaka 40^ ~ alisikika Mstaafu mmoja hivi aliyepewa zawadi ya benzi.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Mwendazake aliwachukia matajiri na kuwabambikia kesi za uongo na aliahidi wataishi kama mashetani, kaja malaika anawatoa kuzimu na yeye anapelekwa huko
 
Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.

Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
Hivi hawa matajiri walimwibia Nani?
 
Serikali ya kulinda vibosire sasa iko madarakani; serikali ya kula na kuwahadaa wananchi sasa iko madarakani; serikali ya maneno mengi na vitendo kiduchu sasa iko madarakani. Serikali ya kutetea ufisadi, rushwa, uhujumu-uchumi, uzembe, upigaji-dili, na ubadhirifu sasa iko madarakani. Uzalendo sasa ni suala la historia. Utetezi wa wanyonge ni historia.

Anyways, tuchape kazi tu kwa bidii maana yajayo yanafurahisha. Kama Mzee Ruksa, Mzee wa Masasi na yule wa Msoga awamu zao zilipita, basi na huyu naye ni suala la muda tu.
Aiseee wewe unazungumza kama yanayoongelewa mtaani.
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Delila anatenda mema kwa Wafilisti

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Jibu ni jepesi tu Mama yenu anataka matajiri waishi kama wafalme pia anataka matajiri watoke waje wafanye biashara mpate ajira
 
Waambie wavute subira na wao mafaili yao yatasomwa.

Iwapo wahusika watajiridhisha kutolewa watatolewa tu.

Waambie wazidi kuvumilia isipokuwa kama watakutwa na hatia sheria itachukua mkondo wake.
 
Ndiyo ukajifunze Kiswahili kwamba ^ajabu^ maana yake pia ni kitu chenye uzuri wa namna yake, kinachopendeza sana na kustajaabisha zaidi na chenye mvuto usio wa kawaida. In short, JPM ametutoa kimasomaso -- 5 years of unparalleled positive social, political and economic change.

^JPM kwa miaka 5 tu ametenda mambo makubwa mno ambayo mimi na wenzangu tulishindwa kuyafanya kwa miaka 40^ ~ alisikika Mstaafu mmoja hivi aliyepewa zawadi ya benzi.
Baba jifunze kufuatilia vitu.

Kaangalie alisema hivyo kwaajili ya nini, hizi perepeche tafuta watu wanaozientertain.
 
Wezi na wakwepa kodi hao ndio aliwachukia! Hao unaowatetea wote wapo kundi hilo! Matajiri walipa kodi na wazalendo kama mzee Mengi (RIEP mzee) walikumbatiwa na shujaa Mh Dr JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏)!
Wezi na mafisadi, wakwepa kodi walikosa chaka la kujifichia! Sasa wanataka kujificha kwenye skirt ya mama 😡!
Sawa watajificha kwenye skirt ya mama yako mzazi, wasije tu wakamla masaburi
 
Kama Zamu ya Wanyonge hawakutoka
Ngoja zamu ipite, maana maisha ni foleni
 
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.

Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?

Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!

Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.

Wanaachiwa mafisadi-tajiri
Watoto wa wanyonge sio mafisadi wala matajiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom