Mtaani kuna pesa nyingi sana inayotafuta wahitaji

Biashara ya kwenye makaratasi shida sana aise.

Ila Hongera kwa kupata milioni 1.8 kwa siku 20 tu.

Na imani utakata kiu ya Mh. Raisi naona ubilionea unakusogelea kwa kasi ya ajabu.
 
Muda wako wa kufanya hizo shughuli , umeuthaminisha!!!... huo mkaa utakuwa unauweka kichwani unachomea mahindi eti..??... Umeweka gharama za Ushindani/mshindani wako maana sio kila mara utauza hizvyo kutokana na ushindani?? vitu ni vingi aseee usirahisishe mpango biashara kama vile ni shughuli ya kwenda maliwato.
 
kuna muuza mahindi mmoja anachoma maeneo ya mbezi beach huko nilikaa nikapiga nae story mbili tatu kwa upande wake anasema inamlipa nikafikiria kweli lakini akawa ameniongezea maarifa.

tatizo ni watu tunawaza sana viwango vya elimu tulioipata na kazi tunayoenda kuzifanya au unazoambiwa kuzifanya
kwa uhalisia ukiwaaliza hata wananchi wa nchi zilizo endelea hasa wana vyuo wa nchi zinazoendelea mtu anasoma major yake ila hana hata mpango wa kufanya kitu anachokisomea ana enda kusimamia sehemu anayo ona kuja fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…