Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako. Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Ugonwa wa Corona (COVID-19)
MPYA: Jinsi ya kujenga kinga ya mwili
Je papai inaweza kuwa na Corona?
Ugonjwa wa Kisukari
Chanjo ya Corona
Kuendelea kupata dondoo za Afya kwa kupitia video, Bofya Hapa: Subscribe
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako. Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Ugonwa wa Corona (COVID-19)
MPYA: Jinsi ya kujenga kinga ya mwili
Je papai inaweza kuwa na Corona?
Ugonjwa wa Kisukari
Chanjo ya Corona
Kuendelea kupata dondoo za Afya kwa kupitia video, Bofya Hapa: Subscribe
Mkuu weka na picha yako tuone kama naweza kukushauriNaomba msaada: nina vipele vidogo sana visivyotoa maji maji wala haviwashi vipo mwisho wa kichwa cha uume. Je tatizo ni nini na tiba yake ni ipi
Naomba msaada: nina vipele vidogo sana visivyotoa maji maji wala haviwashi vipo mwisho wa kichwa cha uume. Je tatizo ni nini na tiba yake ni ipi
Mkuu huo sio ugonjwa, ni maumbile, kila mwanaume anavyo, vipo kwa ajili ya kumkuna mwanamke na hutokeza immediately baada ya kubaleheNaomba msaada: nina vipele vidogo sana visivyotoa maji maji wala haviwashi vipo mwisho wa kichwa cha uume. Je tatizo ni nini na tiba yake ni ipi
Kula sukari hakusababishi Kisukarii hata siku mojaaaa mkuuu kisukari husababishwa na mambo mengine kabisa.Bwana DR. mimi nina maswali yafuatayo:
1.Je kula vyakula vyenye asili ya sukari kama vile miwa/juice ya miwa/pipi/ ndizi sukari/soda/Chai n.k huchangia kupata ugonjwa wa kisukari?
2.Ndugu yangu anatoa harufu mbaya kinywani pamoja na kuwa anapiga mswaki kila siku kabla na baada ya kuamka, je huu ni ugonjwa au tatizo gani? Nini tiba yake?
3.Nilishauriwa kunywa maji mengi ili kuepuka magonjwa kama vile mawe kujaa kwenye figo, lakini kila ninapojitosa kunywa maji ya kutosha najikuta nafrequent toilet! Nimejaribu kupima kisuksri lakini naambiwa sukari ipo normal, Je tatitzo ni nini?
4.Katika miaka ya karibuni kumeibuka maduka mengi ya dawa za aili kalibu za kila aina, Je ni dawa zipi zilzo borz kwz matumizi kati ya dawa za asili na za viwandani?
Thanks!
Tohara haiwezi sababisha korodani zivimbe kama uvimbe haupungui bhasi kuna tatizo dawa za maumivu pekee hazitoshi mrudishe mtoto hospital.Nina mdogo wangu kamfanyia tohara mwanae wa miaka sita toka siku ya jumanne trh 26 ila mpaka leo mtoto kavimba korodani..alimpigia simu dkt alikuja nyumbani ila baada ya kumchunguza akasema haina shida ..je dkt yupo sahihi au tutafute suruhisho
Tafuta dawa inaitwa SKYDERM hii ni kibokooo...!! Pole sanaWakuu msaada wenu please nina vipele kwenye kisogo Ni tatizo la muda mrefu Sana toka 2004 mpk leo nimetumia Sana za hospital na miti shamba pia sijapata nafuu wakati mwingine zinawa na zinauma mwenye kujia tiba please
Hakuponaa Huyo mtoto ila alipata naafuu...!! So inapotokea mazingira au hali inayochochea degedege kurudi bhasi inarudi. Vitu kama Homa..stress. Mpeleke mtoto hospital wakaangalie kama ana physical damage yoyote kwenye Ubongo kama sio kubwa bhasi anatibika utapewa dawa. Pole sana usipuuzie hali itazidi kuwa mbaya mbele ya safari.Ninamtoto wangu anamiaka mitatatu aliugua degedege na kupona lakini sasahivi amekua akizimia kilabaada ya muda mfupi tatizo litakua nini
Mchubuko ni dalili ya Fungus... tafuta cream inaitwa Terbinafine cream alafu kila ukiogaa hakikisha Unajikaushaa vizuriii kabisa. Na uwe unabadilisha boxer mzee sio siku tatu upo nayoo tuuSamahan naomba kuuliza
Hivi korodoni zikiwa michubuko na zimesinyaa kila mda ni dalili za nn au ni ugonjwa gan na tiba yake ni ipi
Tafuta Tube inaitwa ACNE FREE.Nasumbuliwa na chunusi sugu mwaka wa8 sasa msaada tafadhali
Wapo wasaidiz wakeDokta wa hapa alilala mbele toka mwaka 2018 akawaacha wagonjwa wake solemba.. Wakati klinik aliifungua mwenyewe