Habari Dk, natumaini u mzima
Samahani
Nina mdogo wangu ana umri Wa Miaka minne, anatokwa na damu, usaha kisha harufu mbaya puani katika tundu la kushoto .naomba unisaidie dawa zinazo weza kutumika maana anapata taabu sana
Sijajua ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini.
Msaada wako Tafadhari
Samahani
Nina mdogo wangu ana umri Wa Miaka minne, anatokwa na damu, usaha kisha harufu mbaya puani katika tundu la kushoto .naomba unisaidie dawa zinazo weza kutumika maana anapata taabu sana
Sijajua ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini.
Msaada wako Tafadhari