Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Anachosema inaenda sawa na jina lake. Ni mwongo.
HIV inaambukizwa kwa ngono na mtu yeyote asikudanganye.
Kwa yule aliokuwa anayo HIV, Hizi virusi zinapatikana kwenye; Damu (ikiwa ni pamoja damu ya hedhi), Semen, Secretions ya Uke na Maziwa ya matiti. Hivyo basi, mtu aliyokuwa anayo HIV atamwambukiza mwenzie kwenye ngono kwa urahisi tu.

Mtu anaweza kuwa na virusi vya HIV lakini asikuwe na Ukimwi. Ukimwi ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vya HIV. Lakini huwa mtu anaweza akapata virusi vya HIV ikakaa bila dalili alafu baada ya miaka kadhaa inaanza kuonesha dalili ya Ukimwi, Hiyo inatokea mara chache.

Asante.

Unaweza kua na hiv ikajificha isionekane hata ukipima?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina ndugu yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa Ulcerative Colitis. Akiacha kutumia dawa za hosp hali inajirudia,

Una ushauri gani mkuu
 
Eti kuna dawa ya vidonda vya tumbo ya hospital inayotibu Kbisa maana nasikia zinapooza tu baada ya muda vinaanza ..je ni nini chanzo cha vidonda vya tumbo??
 
Maumivu wakati wakukojoa, kama ulivyoambiwa hospitalini unayo UTI. Dawa zake hizi hapa:

1. Amoxiclav 500mg kutwa mara mbili kwa wiki moja. (inaondoa vimelea)
2. Cital liquid kunywa kutwa mara mbili kwa wiki moja. (inapunguza maumivu kwenye mkojo)
3. Kunywa maji kwa wingi (inapunguza idadi ya vimelea.

Maumivu ya kichwa na flu. Je unayo homa pia? na ukoo inauma pia?

Maumivu makali ya kiuno inatokea saa ngapi?

Uko Sawa Nilikuwa na Tatizo na nilifuata haya nikapona baada ya kupimwa na kuthibitishwa
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.








Wadau siku za nyuma nilikuja hapa na tatizo la kukosa choo, tumbo kujaa gesi. Tatizo mpaka leo bado lipo. Na mwezi ulioita nimefanyiwa kipimo cha OGD Endoscopy.

Mtaalamu anasema hajaona vidonda ila kuna gesi nyingi na kaniambia nina "oesophagitis grade II" Sababu ya tatizo hili Ni gesi kurdi juu kutoka tumboni.

Kweli maumivu ya mgongo kifua kwangu Ni kitu cha kawaida sasa kwa takriban miaka 20. Maumivu ya
Kiuno, mgongo, miguu kuwaka Moto ndio maisha yangu.

Wamenipa dawa za PPI's kwa miezi mitatu na nakaribia kumalizia dose lakini hali bado.
Najitahidi kudhibiti vyakula hakuna maendeleo.

Je, Kuna Tiba mbadala juu ya tatizo hili?
Kama maelezo yangu hayajaeleweka vizuri natanguliza samahani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.

View attachment 361607

Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.









Dr mimi napenda kuuliza kukojoa damu mwishoni mwa mkojo niugonjwa gani huo na jeunatibiwaje?
 
Mkuu Mimi nauliza tiba ya fangasi,
Zipo katikati ya pumbu na mapaja na zinasababisha maumivu makali
 
Hello doctor i hope uko sawa, nlikua na swali moja,nna girlfriend wangu alipata ujauzito but miez mitatu ilivofika alikua anasumbuliwa sana na tatizo la dam kupungua , kwakua pia so mlaj sana wa mboga za majan , but miez minne ile mimba iliharibika , after that amekua akisumbuliwa na tatizo la mapigo ya moyo kwenda mbio na ni miez zaid ya sita sasa kuna siku anakua sawa sometime anakua anaumwa ivo ,akikasirika kidogo anapata ilo tatizo na mwanzo hakua ivo ,,,, nimewaza labda yaeza kua hormone imbalance ila sina uhakika sasa sijui ata cha kwenda kumpima ni nni . Na usiku joto lake hua linapanda sana pia na iyo pia nimesoma iko kwenye hormone imbalance but wew unatoa ushauri gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom