Mtaalam wa Saikolojia: Mwanaume asipolia tena kwa kutoa kabisa Machozi mara Nne kwa Mwezi ajue anaukaribisha Uwendawazimu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,878
"Kiuumbaji na hata Kisaikolojia tu Mwanaume ni Mtu ambaye anakuwa amebeba mambo mengi Kichwani na Akilini mwake tena mazito mazito na makubwa makubwa kuliko Mwanamke. Hivyo basi moja ya Tiba ya haraka ili kumuepusha akae vyema Kifikra na Kuhimili mambo anatakiwa ajitahidi kila Wiki awe analia tena kwa kutoa Machozi kabisa vinginevyo utahaira hautakuwa mbali nae, " amesema Mtaalam.

Wale mliosoma Moja ya Gazeti la Kiswahili la Wiki hii Siku ya Jumatatu au Jumanne la Nipashe au Majira nadhani mmekutana nayo hii Taarifa tata.
 
"Kiuumbaji na hata Kisaikolojia tu Mwanaume ni Mtu ambaye anakuwa amebeba mambo mengi Kichwani na Akilini mwake tena mazito mazito na makubwa makubwa kuliko Mwanamke. Hivyo basi moja ya Tiba ya haraka ili kumuepusha akae vyema Kifikra na Kuhimili mambo anatakiwa ajitahidi kila Wiki awe analia tena kwa kutoa Machozi kabisa vinginevyo utahaira hautakuwa mbali nae, " amesema Mtaalam.

Wale mliosoma Moja ya Gazeti la Kiswahili la Wiki hii Siku ya Jumatatu au Jumanne la Nipashe au Majira nadhani mmekutana nayo hii Taarifa tata.


Wenzako huwa tunalia takriban kila siku, tukisujudi kumuomba na kumshukuru Mungu katika shida na raha zetu.

Kulia kwa "reason" na sio kulia tu.
 
"Kiuumbaji na hata Kisaikolojia tu Mwanaume ni Mtu ambaye anakuwa amebeba mambo mengi Kichwani na Akilini mwake tena mazito mazito na makubwa makubwa kuliko Mwanamke. Hivyo basi moja ya Tiba ya haraka ili kumuepusha akae vyema Kifikra na Kuhimili mambo anatakiwa ajitahidi kila Wiki awe analia tena kwa kutoa Machozi kabisa vinginevyo utahaira hautakuwa mbali nae, " amesema Mtaalam.

Wale mliosoma Moja ya Gazeti la Kiswahili la Wiki hii Siku ya Jumatatu au Jumanne la Nipashe au Majira nadhani mmekutana nayo hii Taarifa tata.
Sasa mbona hamliagi halafu pia hamjakua wendawazimu
 
Kwahiyo kulia unaona ni kitu cha staha kwa mwanaume? Hapa hamna kulia wala nini na hawi mtu mwendawazimu
 
Bila shaka kuna wanaume wengi ambao huwa hawafanyi hivi(na Mimi nikiwemo ), sasa siwangekuwa wendawazimu.

Au huwa inachukua muda gani mpaka kupata huo Wenda wazimu?

Au hili swala ni jipya limeanza na hii mitano tena?...... Natania
 
Hawa wanasaikolojia walifanya tafiti kwa mabishoo wa type kama mc pilipili kisha wakaja na conclusion yao kutuhusisha wote hapo ndio walipo bugi

Matatizo au hasira haiondolewi kwa kulia na kulia huja automatic, mi mara nyingi nikicheka hua sana natokwa na machozi labda wahesabie hayo machozi kama kilio maana Watu tuna miaka hata hatujui lini tulilia na still tuko gado
 
Bila shaka kuna wanaume wengi ambao huwa hawafanyi hivi(na Mimi nikiwemo ), sasa siwangekuwa wendawazimu.

Au huwa inachukua muda gani mpaka kupata huo Wenda wazimu?

Au hili swala ni jipya limeanza na hii mitano tena?...... Natania


Uwendawazimu upo wa aina nyingi na katika viwango tofauti, na hakuna mtu anaweza kujijua kwamba yeye ni mwendawazimu na hata kama akiambiwa kwamba yeye ni mwendawazimu hatokubali na ukimlazimisha basi vita itaanza kwamba umemtusi.
 
Mfano, Baba anarudi nyumbani na hasira anapokelewa na mkewe halafu inatokea jambo dogo tu kama chumvi imezidi ndani ya mboga na hapohapo anaamua kumcharanga vibao mkewe.

Huo sio wendawazimu kwa wanaume???
Kuna Mzee Mmoja Yeye akiwa anatoka tu Kazini anampigia Simu Mkewe kumwambia amkute Uchi ili akifika tu auchomeke je, huu siyo Utahaira?
 
Hawa wanasaikolojia walifanya tafiti kwa mabishoo wa type kama mc pilipili kisha wakaja na conclusion yao kutuhusisha wote hapo ndio walipo bugi

Matatizo au hasira haiondolewi kwa kulia na kulia huja automatic, mi mara nyingi nikicheka hua sana natokwa na machozi labda wahesabie hayo machozi kama kilio maana Watu tuna miaka hata hatujui lini tulilia na still tuko gado


Wewe unajiona uko gado lakini kwa hakika haupo gado.

Katika maisha kuna kupanda na kushuka, kuna Mwanamke na mwanaume, kuna usiku na mchana, kuna shetani na malaika, kuna majonzi na furaha, kuna kushoto na kulia, kuna wema na wabaya, sasa iweje kusiwe na kulia na kucheka.

Kulia ni sehemu ya maisha kama jinsi shida na raha ni sehemu ya maisha.

Kuto kulia kwa sababu fulani ni tatizo, Watu wengi hawajui.

Nasema tena mimi huwa nalia kama mtoto ninapojiona nipo mbele ya Mungu nikitoa shukurani au nikiomba shida zangu ziondoke, ila silii ili watu wasikie nikilia laa, bali nalia kiasi kwamba hakuna anayejua na hapo hupata faraja na moyo wangu hutulia.

That's my personal experience.
 
Ndo yale yale ya kati ya watanzania watatu mmoja ni taira.? Au h n mpya.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom