Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
wazo limenijia
Huku shamba kwetu watu wanasumbuka sana na NET, nimewaza kuanzisha huduma ya WI-FI, lakn i know next to nothing kuhusu masuala ya network! wataalam na gurus nisaidieni, ni vitu gani nahitaji na kwa gharama gani ili niweze kuweka net inayopatkana ndani ya eneo la 3-8km radius. Nitafurahi nikipata mchanganuo mzuri na options zilizopo, bila kusahau gharama za hardware na software zote zinazotakikana.
Shukrani mbele wakuu!
Huku shamba kwetu watu wanasumbuka sana na NET, nimewaza kuanzisha huduma ya WI-FI, lakn i know next to nothing kuhusu masuala ya network! wataalam na gurus nisaidieni, ni vitu gani nahitaji na kwa gharama gani ili niweze kuweka net inayopatkana ndani ya eneo la 3-8km radius. Nitafurahi nikipata mchanganuo mzuri na options zilizopo, bila kusahau gharama za hardware na software zote zinazotakikana.
Shukrani mbele wakuu!