Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
-Mwanamke anaruhusiwa kumpa mme wake talaka kama atagundua kuwa viungo vya mwanaume havifanyi kazi na kama hawatafanya mapenzi kwa mda wa miezi sita.
-Mwanamke anaruhusiwa kumpa mme wake talaka kama viungo vya mme wake vitakuwa ni vikubwa kwa sababu mapenzi ni raha kati ya watu wawili na wala si karaha, na mwanamke inabidi aonyeshe vitu kama michubuko etc ili kuthibisha kuwa hakuna njia ya kuinusuru hiyo ndoa.
-mwanamke na mwanaume wakishaishi kwa miaka mitano hata kama hawajafunga ndoa wakiachana wagawane mali.
-ulipaji wa mahari usiwe wa lazima.
source: DW swahili
-Mwanamke anaruhusiwa kumpa mme wake talaka kama viungo vya mme wake vitakuwa ni vikubwa kwa sababu mapenzi ni raha kati ya watu wawili na wala si karaha, na mwanamke inabidi aonyeshe vitu kama michubuko etc ili kuthibisha kuwa hakuna njia ya kuinusuru hiyo ndoa.
-mwanamke na mwanaume wakishaishi kwa miaka mitano hata kama hawajafunga ndoa wakiachana wagawane mali.
-ulipaji wa mahari usiwe wa lazima.
source: DW swahili