MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
tafadhali sana ndugu yangu usijenisababishia nipigwe ban na mod. Hivi una umri wa miaka mingapi wewe? Je reli ya Tazara ni wewe umejenga tena wakati nchi inatoka vitani.! usiwe mshabiki wa vyama vya siasa kuwa mshabiki mkereketwa wa tanzania. Hata yeye anaona mambo hayaendi sawa ndio maana anakemea. hata salimu ahmed salimu , joseph warioba wanakemea hayo hayo mzee msuya anayokemea we vipi!Kwa kweli msuya amekosea sana kutoa hiyo kauli kwa sababu kwa yeye kuwa waziri mkuu katika moja ya tawala za nchi hii ni wazi kwamba hawezi kutenganishwa na matatizo lukuki yanoikumba nchi yetu tangu mwaka 1961.
Alipaswa yeye binafsi akiri makosa yake aliyotenda wakati akiwa mtawala then atuombe radhi, baada ya hapo ndio akituhumu na chama chake na serikali ya JK. Vingenevyo atakuwa amekengeuka.