Hello , natumai mu wazima, please naomba yeyote anaejua msusi mzuri sana wa yeboyebo kwa Dar es salaam naomba aniconnect nae.
Binafsi huwa ninasuka Jose saloon ya Mwenge, but kwa Sasa wapo likizo Hadi trh 11, lakini Mimi ninasafari kabla ya terehe hiyo, hivyo yoyote mwenye namba ya msusi wa yebo yeyote wa Josesaloon anisaidie tafadhali .
Binafsi huwa ninasuka Jose saloon ya Mwenge, but kwa Sasa wapo likizo Hadi trh 11, lakini Mimi ninasafari kabla ya terehe hiyo, hivyo yoyote mwenye namba ya msusi wa yebo yeyote wa Josesaloon anisaidie tafadhali .