Habarini wana JF natumai mu wazima.
Mimi nimwanafunzi wa chuo cha ufundi (Electrical eng) Nipo hapa kuomba kama kuna mtu anajua sehemu wanapo fundisha ufundi simu au fundi simu yeyote anaeweza nisaidia nipate ujuzi wa kutengeneza simu yeyote naomba anisaidie aje inbox kunipa mwongozo ila chakuzingatia awe Arusha chakuongezea nikwamba kwenye maswala ya electronics pia nimesoma nakwenye maintaimance badhi yavifaa najua.
Mungu awabariki kwa kusoma Uzi huu nayeyote atakae nisaidia kwanamna mbalimbali atabarikiwa
Mimi nimwanafunzi wa chuo cha ufundi (Electrical eng) Nipo hapa kuomba kama kuna mtu anajua sehemu wanapo fundisha ufundi simu au fundi simu yeyote anaeweza nisaidia nipate ujuzi wa kutengeneza simu yeyote naomba anisaidie aje inbox kunipa mwongozo ila chakuzingatia awe Arusha chakuongezea nikwamba kwenye maswala ya electronics pia nimesoma nakwenye maintaimance badhi yavifaa najua.
Mungu awabariki kwa kusoma Uzi huu nayeyote atakae nisaidia kwanamna mbalimbali atabarikiwa