mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,141
- 3,452
Hayanihusu acha nipite
unafanya nini hapa hun?
Nimepotea njia, nikasikia harufu kali...nikatema mate..that's all girl!!
mkuhu siho vizuri hungemuhambiha sasa hunakuja kumsema humu hungemuhambiha siho vizuri kabisa mkuhu.
mkuhu siho vizuri hungemuhambiha sasa hunakuja kumsema humu hungemuhambiha siho vizuri kabisa mkuhu.
Umewahi kukutana na msusi anae nuka chupi hasa katika zile staili zetu za kilimanjaro.
Hii imenitokea live mida nikiwa kwa msusi nyumbani kwake tena mchana alikua ananisuka stail fulani jamani nilitamani nimwambie dada kabadilishe ila ilinibidi pia niwemvumilivu.
Maana nautaka urembo.
Wasusi wa kitaa noma sana ,ila saluni wanakuwaga wasafi... alafu hawa wanaonuka ni wataalam sana wa staili nzuri ,kazi kwako sasa ukitaka kupendeza unuse shombo mpaka basi.....
Umewahi kukutana na msusi anae nuka chupi hasa katika zile staili zetu za kilimanjaro.
Hii imenitokea live mida nikiwa kwa msusi nyumbani kwake tena mchana alikua ananisuka stail fulani jamani nilitamani nimwambie dada kabadilishe ila ilinibidi pia niwemvumilivu.
Maana nautaka urembo.
mkuhu siho vizuri hungemuhambiha sasa hunakuja kumsema humu hungemuhambiha siho vizuri kabisa mkuhu.
Mi nashindwa kuelewa.
Yule ni mwanamke mwenzio.
Umechukua hatua gani za kumuelimisha kuhusu usafi wake wa ndani badala ya kuja kumuanika humu.
Mimi nina dada yangu, hatoi harufu but hana uwezo wa kusikia harufu.
So am imagining labda hajijui kama ana harufu na ungeweza kumsaidia.
Afadhali ungeuliza namna ya kumueleza kuhusu hali hiyo kuliko kuja kumsema in such a way that disgusts people and does not help things.
Women please!
Wasusi wa kitaa noma sana ,ila saluni wanakuwaga wasafi... alafu hawa wanaonuka ni wataalam sana wa staili nzuri ,kazi kwako sasa ukitaka kupendeza unuse shombo mpaka basi.....
Ndio maana sisuki!
mkuhu siho vizuri hungemuhambiha sasa hunakuja kumsema humu hungemuhambiha siho vizuri kabisa mkuhu.
Mi nashindwa kuelewa.
Yule ni mwanamke mwenzio.
Umechukua hatua gani za kumuelimisha kuhusu usafi wake wa ndani badala ya kuja kumuanika humu.
Mimi nina dada yangu, hatoi harufu but hana uwezo wa kusikia harufu.
So am imagining labda hajijui kama ana harufu na ungeweza kumsaidia.
Afadhali ungeuliza namna ya kumueleza kuhusu hali hiyo kuliko kuja kumsema in such a way that disgusts people and does not help things.
Women please!