Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Kwa utaratibu unapoenda kuishi nchi yeyote ya nje unatakiwa kwenda kwenye ubalozi wa Tanzania wakutambue ili iwe rahisi kwa kutoa msaada. Unakuta watu wanaejiendea tu mahali bila ya utaratibu yakitokea matatizo mnataka serikali i act. Ni jambo baya linalofanyika msumbiji lakini kuitupia lawama serikali moja kwa moja ni upuuzi na kukosa akili. Hili suala ni gumu kulikurupikia tu moja kwa moja.