Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
- Thread starter
- #41
Daniel ahsante sana.Mzee Mohammed usihuzunike sana Mwanadamu hubadilika, Wana usalama wetu wapo kazini kuangalia the main source Muda utatoa majibu sahihi Tuwe na subira tu japo ni Sad sana
Pamoja na kutahadharisha kuwa kile kilikuwa ni kizazi kilichoshuhudia na hiki ni kizazi kinachosimuliwa (ndo maana kuna mmoja kasema ni hadithi) nakuwekea picha ya shemeji yako niliyoichukua na kisimu changu cha mchina tarehe 17 january 2017 cape town. Uzee haupigi hodView attachment 474634