Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,673
- 3,322
Hili ni la kila mtu uwe umejiajiri au kuajiliwa.
Umri unakimbia sana itafika siku utastaafu iwe ni kwa hiari au kwa lazima.
Umejifunza nini kutoka maisha ya wastaafu waliotangulia?
Je umejiandaaje kuyapokea maisha ya kustaafu?
Nini unakifanya kiutofauti kuepuka kurudia makosa ya watangulizi wako?
Umri unakimbia sana itafika siku utastaafu iwe ni kwa hiari au kwa lazima.
Umejifunza nini kutoka maisha ya wastaafu waliotangulia?
Je umejiandaaje kuyapokea maisha ya kustaafu?
Nini unakifanya kiutofauti kuepuka kurudia makosa ya watangulizi wako?