Mssada wa Business Ideas

Mssada wa Business Ideas

PeeWee

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
898
Reaction score
2,055
Habari za wakati huu wana JF, natumai mko salama na mwaendelea na mapambano ya kujitafutia mkate wa kila siku.
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Mimi nipo jijini Mwanza na nimekuja kwenu hapa jukwaani kuweza kupata msaada wa kupata ideas za biashara katika jiji hili la Mwanza. Kiwango cha mtaji ni TZS 3 million.
Natangiliza shukrani kwenu nyote.
Asanteni.
 
Mwanza sehemu gani?kwa kuanza tuambie kichwani kwako unapenda kufanya nini?
 
Mwanza sehemu gani?kwa kuanza tuambie kichwani kwako unapenda kufanya nini?
Mwanza Nyamagana, nimekuwa nikifikiria biashara ya soft drinks kama maji, na juice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom