Hee heee heee!
My shem BAGAH mzima wewe!!
Hahaha ahha,Shem wangu BAGAH,my shem Cantalisia mm niko poa...mmeamua kushindia matunda?...au ndo kuchacha dizain mnasingizia dayati...
Junior. Cux,tatizo wewe ulikuwa unaacha kodi ya meza kidunchu, sa wakatokea akina Ruhazwe JR kuja kukusaidia kuninenepesha, me ndo Madame B, lazima Ruhazwe JR atatoka shavu tu....!!ah ucjar mkuu.. we muangalie sana huyo mmama co mzuri.!!
Tangu lini mabosi wakafukuzwa kazi shem wangu BAGAH?mh...cha asubuhi kitawafukuzisha kazi Cantalisia...