King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Stephen Covey anasema hivi ' Between stimulus and response there is a space. In that space lies our freedom and power to choose our response. In those choices lie our growth and our happiness.'
You can choose your response and get your freedom kwa kuongeza gap. Take all the time you need to make decisions especially zinazohusu mahusiano. Na pia take time to value things and people. Mbona unaweza kutendwa tu na kuendelea na maisha? Kuna watu wanajiua wakipata hasara ya biashara. Lakini ukijipa muda unagundua kama nilipata hizi nikiwa sina uzoefu kabisa, seuze sasa najua nilipokosea? Kama uliweza mpata mpenzi, ama kuwa na ndugu karibu, wako wangapi walio bora zaidi wanaoweza kuchanganua maisha yako? Take it easy.
Binafsi, kuhesabu baraka zangu kunanifanya nisiwe desperate kwa lolote. Sio mtu, upendo, mali, mavazi ama chakula. I can survive bila vyote hivyo. Attitude can take u anywhere
You can choose your response and get your freedom kwa kuongeza gap. Take all the time you need to make decisions especially zinazohusu mahusiano. Na pia take time to value things and people. Mbona unaweza kutendwa tu na kuendelea na maisha? Kuna watu wanajiua wakipata hasara ya biashara. Lakini ukijipa muda unagundua kama nilipata hizi nikiwa sina uzoefu kabisa, seuze sasa najua nilipokosea? Kama uliweza mpata mpenzi, ama kuwa na ndugu karibu, wako wangapi walio bora zaidi wanaoweza kuchanganua maisha yako? Take it easy.
Binafsi, kuhesabu baraka zangu kunanifanya nisiwe desperate kwa lolote. Sio mtu, upendo, mali, mavazi ama chakula. I can survive bila vyote hivyo. Attitude can take u anywhere