Tangu lini wakawa na hoja? Labda uwaite waje waporomoshe matusi na kusahihisha maneno ya wachangiaji hapa.
Tangu lini wakawa na hoja? Labda uwaite waje waporomoshe matusi na kusahihisha maneno ya wachangiaji hapa.
wewe tu uko bizeAiseeee namshukuru Mungu, sijakutia machoni
Wazanzibar walishadai Zanzibar ni nchi, tukasema sawa isiwe shida! Sasa wamekabana koo huko wakaanza kukimbilia kwa Magufuli, akawaambia kayamalizeni nchini mwenu na tume yenu ya uchaguzi!Waungwana, hivi mnatambua kwamba koti la muungano hawa ndugu zetu linawabana,
Wazanzibar kwa ujumla hawautaki muungano,Walishamaliza mchezo tangu25/10/2015 kwa kuipa CUF.
Tatizo Tanganyika wakaingilia kati,wanalazimisha muungano.
Hapo hakuna chakukosea wala nini.
Wazanzibar ni wamoja.
Pole! Naona huna uwezo wa kuelewa! Katiba ya Zanzibar iko wazi! Imeweka masharti ya kuunda hiyo serikali ya UMOJA wa kitaifa! Masharti hayajatimia kwa hiyo haiwezi kuundwa, vinginevyo ni kuvunja katiba! Kwa heri!Soma katiba ya Zanzibar, usipaparike. Kwa mazingira ya Zanzibar, wakati wanaandika katiba haikufikiriwa kuwa kuna siku itatokea chama kimoja kinaweza kupata kura zaidi ya 90%.
Inaonekana hata hujui kwa nini ilionekana kuna haja ya kuwa na SUK. Sababu iliyosababisha kuwepo na SUK ni ukweli ambao wahusika wote walikubaliana nao kuwa kwa siasa za Zanzibar, vyama hivi viwili vikuu vina wafuasi karibia 50% by 50%. Jambo ambalo halikufikiriwa wakati wa kuandika katiba ni kuwa Jecha na CCM, kwao katiba na sheria siyo kitu. Waandikaji wa katiba hawakufikiria kuwa kuna siku kunaweza kutokea mshenzi mmoja kuamua kuwaondoa wagombea wengine kwa hila za wazi na akaungwa mkono na serikali.
Hatuongelei ushabiki, tunaongelea katiba na mazingira ya uundwaji wa SUK. Wabakaji wa demokrasia wamemtumia mwizi asiye na akili maana angekuwa na akili angeuboresha wizi wake ili ukidhi vigezo vya katiba, na ndivyo madikteta wengi Duniani wanavyofanya.
Open up your mind and argue intelligently!
Hebu nikumbushe ndoto ya Kimweri ni historia ya muda mrefu sana!Hz siku za hv karibuni nami ndoto ya kimweri inanijia nashidwa sijui kwa nn...masikini nchi yangu.
Labda sema vile vyama vyote 12 ambavyo vinaunda sisiemuBHivi ccm unawajua kwa ujuha wao? Ngoja uone sasa watakwambia hamad rashid alipata 12% sema walikosea kujumlisha, na ushahidi utaletwa, ccm zaidi ya fisi kwa uchu
Ccm wakiamua jambo lao hata iweje watalitimiza tuuu.kwa ccm katiba na sheria ni upuuzi usio takiwa fuatwa.Ni kweli unavyosema, lakini kubadilisha katiba ni lazima ipigwe kura ya maoni Zanzibar, na kwa maana hiyo, uchaguzi mwengine ni lazima, kubadilisha katiba ama kuendelea na katiba! Kuendelea kutawala bila ya SUK ni kinyume cha sheria na kumchaguwa Makamo kutoka kwa wagombea ambao hawajatimiza ikadi nayo ni kuvunja sheria. Uchaguzi mpya unahitajika mpaka ikadi ipatikane. Venginevyo, CCM wanakula kiti moto mwezi wa Ramadhani mchana na hio wameona haitoshi, wameagiza kreti za bia. Haramu juu ya haramu. They put too much attention on cents while loosing shillings at the other end!