Mtu-Pori
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 1,255
- 1,350
Wiki kadhaa zilizopita baada ya Arsenal kupigwa na Chelsea, akina dada walilalamika kuwa waume zao hutoka na stress za mpira hadi nyumbani, halafu wanawanyima........kuna hatihati leo wakanyimwa pia. Tukumbushane tu jamani, ya mpira yabaki mpirani. Wapeni haki yao.