Msiwalaumu sana Polisi

Msiwalaumu sana Polisi

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
857
Reaction score
2,289
Nguvu wanayoitumia Polissi kupambana na raia wangeitumia shule sasa hivi wasingekuwa polissi.

Anyway msiwalaumu sana maana 99% ni wale waliofeli shule wakakimbimbilia upolisi, hata hao wenye degree wengi i wale wa uwe na D mbili ikiwemo ya hisabati. Kwa kifupi walifeli shule wakaunga unga elimu zao so unaweza kuona mtu Profesa lakini hana IQ ya kiprofesa.
 
1000167205.jpg
 

Attachments

  • 1000167205.jpg
    1000167205.jpg
    162.9 KB · Views: 10
Nguvu wanayoitumia Polissi kupambana na raia wangeitumia shule sasa hivi wasingekuwa polissi.

Anyway msiwalaumu sana maana 99% ni wale waliofeli shule wakakimbimbilia upolisi, hata hao wenye degree wengi i wale wa uwe na D mbili ikiwemo ya hisabati. Kwa kifupi walifeli shule wakaunga unga elimu zao so unaweza kuona mtu Profesa lakini hana IQ ya kiprofesa.
Takataka wote wwlipata grade hizi: Fight For Food First Fiercely Forcefully Full Frightening Fellows
 
Back
Top Bottom