Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,274
- 2,648
Habarini wapendwa. Ningependwa kujuzwa ktk hili. Inafahamika kwa akinadada, msitari mweusi unaotokea maeneo ya ktovu kuelekea chini mitaa ya K, hujitokeza kama dalili za awali za ujauzito (naomba kusahihishwa kama nimekosea) lakini kuna baadhi ya wasichana wanao mstari huu hata kama hawana ujauzito (yaani upo maisha yote) naomba kujuzwa tofauti ya wadada wa aina hii na wengine (wasio na huo mstari) yaan faida (kama zipo), hasara (kama zipo) etc. In short i need to learn something about this line kutoka kwenu wapendwa.