nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Kacheki minyoo
Klorokwini siku unatibu nini hivi bado una TBS?. Nitarudi baadae kidogo
Kacheki minyoo
acha kudanganyana, huo mstari upo kwa kila mtu ila unaonekana sana kwa wanawake na hasa wakiwa wajawazito.Kiutaalamu unajulikana kama " linia nigra" na unatokana na ngozi kutanuka na hormonal changes during pregnangy. kwa hiyo hakuna cha kutoa mimba hapo. na watu wengine wakizaa huwa unafutika kabisa