TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,206
- 25,399
Naam...
Nje ya box.
Kuna kauli inatapanywa nchi nzima No Reform No Election.
Naqnaza kuamini mwaka huu No Election, kwa sababu hiki kinachoendelea unadhani raia gani ataenda kupiga kura?.
Hata kama tayari CCM kimeshajitangazia ushindi mnamo October ila watakaoemda kupiga kura nina uhakika ha 6mil hawafiki.
Nchi imepigwa unyonyo moaka upupu haufanyi kazi, sasa ni mwendo wa mabango akihusishwa mwenyaazi Mungu anayeabudiwa nasi.
No Reform No Election siyo lazima kuzuia barabarani ila wananchi hawa hawa siendi kupiga kura.
Mtajaza ballot 🗳️ fake na mtahesabu kuonyesha wafadhiri na mtaapa kwa msaafu mkono juu ila nafsi inakuchoma kwa uongo.
Kiongozi wao wa kidini anamtumikia shetani, wasimuingize kiongozi wetu wa kisiasa hapa ndg zangu.
Nje ya box.
Kuna kauli inatapanywa nchi nzima No Reform No Election.
Naqnaza kuamini mwaka huu No Election, kwa sababu hiki kinachoendelea unadhani raia gani ataenda kupiga kura?.
Hata kama tayari CCM kimeshajitangazia ushindi mnamo October ila watakaoemda kupiga kura nina uhakika ha 6mil hawafiki.
Nchi imepigwa unyonyo moaka upupu haufanyi kazi, sasa ni mwendo wa mabango akihusishwa mwenyaazi Mungu anayeabudiwa nasi.
No Reform No Election siyo lazima kuzuia barabarani ila wananchi hawa hawa siendi kupiga kura.
Mtajaza ballot 🗳️ fake na mtahesabu kuonyesha wafadhiri na mtaapa kwa msaafu mkono juu ila nafsi inakuchoma kwa uongo.