Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,286
Unanipitiaje we upo Dom mi nipo MwanzaMamy vip nimepata appointment Dar naomba nikupitie tukale bata la valentine day Hyat Regency hotel
Unanipitiaje we upo Dom mi nipo MwanzaMamy vip nimepata appointment Dar naomba nikupitie tukale bata la valentine day Hyat Regency hotel
Asante mwayaa,,mim kusafiri kwa sasa hapanaupande kisibo utanipitia hapa dodma
Hapana nimefukuzwa shule dinaMmefunga shule Beira?
Yes anaweza akapita hapa afu ikawa sooNikaushe tena ndugu yangu au unaogopa atapita hapa akupe kibuti
Hivi anasoma wapi?Kafukuzwa
Hivi anasoma wapi?
Uzuri hanaga matusi BeiraAisee sijui, ila nimeona thread yake hii
Mapenzi yamefanya nifukuzwe shule; chanzo ni mwalimu wangu kunitaka kwa nguvu
Sema ni comedi sana jamaa, namwelewa.
Uzuri hanaga matusi Beira
Kweli wanaopenda mausirias waende jukwaa la siasa hukoHe is one good boy...
Watu hawamwelewi tu kwamba anachangamsha genge.
Mimi kwa wastani nilimiss comedi zake aisee.
Siyo kila muda ni vitu serious.
Kweli wanaopenda mausirias waende jukwaa la siasa huko
Wewe sisi beira ni shemeji yetu kwa MbitiyazaIla dogo ana fix balaa, sema anajua kuzipangilia.
Wewe sisi beira ni shemeji yetu kwa Mbitiyaza