Haji hajawa muhimu kiasi cha kupandisha bei ya hisaGSM sio public listed company. Haiko DSE ni kampuni ya Mohammed na wenzake
The way ulivyo comment kama vile nakufahamu kabisa.Swala la hisa siyo kwa bongo musee.., cha msingi tusubili uwanjani ligi ikishaanza. Mengine hayo ni siasa tu maana kwa Nchi yetu siasa kila sehem mpaka taasisi za afya sehem ambayo ni sensitive sana.,
GSM haina hisa. Au wewe tutajie hisa za GSM zinauzwa bei gani kwa kipande?Haji hajawa muhimu kiasi cha kupandisha bei ya hisa