Wana jf
Nikiwa kama mkereketwa na mfuasi wa Dr Slaa nazidi kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chadema asilia kufuata na kuenzi mawazo ya kamanda wetu wa ukweli ambaye tunapaswakujiuliza yafuatayo;
1) Ni kwa nini mchakato wa kutafuta mgombea urais haukufuatwa kama ilivyokuwa imepangwa.
2) Ni kwa nini mtu amechukua takribani wiki 2 tu tangu alipohamia kutoka CCM na kuteuliwa kuwa mgombea urais.
3) Ni kwa nini viongozi waandamizi makamanda walitupwa nje hivihivi bila kuthamini michango yao.
4) Ni kwa nini yule fisadi mkuu kutoka CCM kama mlivyokuwa mnatuhubiria na kupitia magazeti ya mwanahalisi pia tuliamua kumkumbatia. Ni nani alimsafisha ?
5) Ni kwa nini viongozi wetu mliamua kuwachukua makapi yote kutoka CCM wakati mliapa hamtachukua tena makapi kutoka CCM.
6) Makamanda mnazungumzia mfumo gani huu wa CCM ambao ni mbaya na ukilinganisha na limfumo baya zaidi kupita yote niliyotaja hapo juu. Tunaweka misingi gani ya utawala bora ?
Tafakari chukua hatua haraka !!
Nikiwa kama mkereketwa na mfuasi wa Dr Slaa nazidi kuhamasisha wanachama na wapenzi wa chadema asilia kufuata na kuenzi mawazo ya kamanda wetu wa ukweli ambaye tunapaswakujiuliza yafuatayo;
1) Ni kwa nini mchakato wa kutafuta mgombea urais haukufuatwa kama ilivyokuwa imepangwa.
2) Ni kwa nini mtu amechukua takribani wiki 2 tu tangu alipohamia kutoka CCM na kuteuliwa kuwa mgombea urais.
3) Ni kwa nini viongozi waandamizi makamanda walitupwa nje hivihivi bila kuthamini michango yao.
4) Ni kwa nini yule fisadi mkuu kutoka CCM kama mlivyokuwa mnatuhubiria na kupitia magazeti ya mwanahalisi pia tuliamua kumkumbatia. Ni nani alimsafisha ?
5) Ni kwa nini viongozi wetu mliamua kuwachukua makapi yote kutoka CCM wakati mliapa hamtachukua tena makapi kutoka CCM.
6) Makamanda mnazungumzia mfumo gani huu wa CCM ambao ni mbaya na ukilinganisha na limfumo baya zaidi kupita yote niliyotaja hapo juu. Tunaweka misingi gani ya utawala bora ?
Tafakari chukua hatua haraka !!