Msimamo wangu

Msimamo wangu

Unaogopa nini mrembo?nawakati masharti umeweka wewe mwenyewe action speak louder ………nyambisi

duuuh!!! hiviiiiii debe tupu huwa linaacha kulia kweli!!! nikumbusheni nimesahau
 
Mbona Hotelini tunatoa ''Keep change''. Haijalishia natimiza wajibu wangu au la. Mapenzi ni suala lenye kugusa HISIA, ndio maana ukipongezwa na La-azizi, asali wa moyo au kwa lugha ya leo BABY unaona raha na faraja kubwa kuliko hata mzazi wako.


hata ubinuke sarakasi, huo ndio msimamo
 
Wewe karatasi ya talaka atakuwa ndo rafiki yako kama mi ndo mumeo karatasi ya taraka naweka kwenye mfuko wa shat kama refa mchezeshaji mpira na kipyenga mdomon ni kupuliza filimbi nakukupa red card ya mapenz utashka adabu
 
mimba kitu gani wew huwa mnawakomesha watoto wadogo lakin kwa anaejijua mwenyew hawezi kupata mimba ya kushtukiza hata siku moja

Weweeeee.....kuna watu ni mabingwa wa kufanya kwa timing
 
Wewe karatasi ya talaka atakuwa ndo rafiki yako kama mi ndo mumeo karatasi ya taraka naweka kwenye mfuko wa shat kama refa mchezeshaji mpira na kipyenga mdomon ni kupuliza filimbi nakukupa red card ya mapenz utashka adabu


utasubiri sana na hauiandiki ng'ooo
 
Its simpe and clear.... misimamo yako ukiiweka hadharani mapema kabla ya ndoa HUWEZI pata mume hasa kwa bongo hii!!!!
 
Back
Top Bottom