michael western
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 544
- 259
We zako kakufatilia nani? Si umeshafanikiwa?
Mwache mkeo nae afanikiwe.
The why she is living under my roof?BTW siwezi oa kama hatujasomana so mtu Kama huyo siwezi kukutana naye
We zako kakufatilia nani? Si umeshafanikiwa?
Mwache mkeo nae afanikiwe.
Of course sijaoa,wamewazoesha wanawake zao vibaya,mshahara wa mke wangu unaweza usitumike ni wake lakini lazima nijue matumizi anafanyaje
wamtenge kwa lipi? kwani niliolewa na mume wangu au ndugu zake?? watafute mali zao
Pesa hazimtoshi mtu so endelea kusaka, sasa unaziulizia pesa za mkeo za nn?? Zinakuhusu nn?
Wewe hujaoa wewe. Wabaume wenzio wangapi wanakuja huku kulalamika hawajui vipato vya wake zao? Unadhani huwa wanathubutu kuuliza kwa wake zao?
Wanakuja huku ili kutafuta amani, wanapima kama ni wao tu ndio hawajui au kuna wengine?
MSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
NIMEMALIZA
how old r you.msimamo wangu
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.
3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.
4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.
6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
Nimemaliza
Utaishia kupigwa dudu na kuachwa
we atoto hayo masharti uliyotoa hayana nafasi ktk mahusiano ya kimapenzi au ndoa bali yanaweza kutumika ktk biashara.
Tafsiri ya "mjanja kwako" ni ipi? Sasa mbona kaweka makazi? Grow up boy then u'll understand