Msimamo wangu

Msimamo wangu

Of course sijaoa,wamewazoesha wanawake zao vibaya,mshahara wa mke wangu unaweza usitumike ni wake lakini lazima nijue matumizi anafanyaje

Basi tusibishane. Ukiingia utayakuta. Labda ubahatike kumpata mahaba niue asiyejitambua ambae hata hajui kwanini anatafuta pesa.
 
Usijali binti maana imeandikwa ya kuwa Bwana atakupa mke/mme wa kufanana naye
 
wamtenge kwa lipi? kwani niliolewa na mume wangu au ndugu zake?? watafute mali zao

we atoto hayo masharti uliyotoa hayana nafasi ktk mahusiano ya kimapenzi au ndoa bali yanaweza kutumika ktk biashara.
 
Mkuria wako atantokea na panga,,, ww npe2 pc mm ntaifanya cr yetu mm na ww milele

Tangu lini siri ikawa ya wawili? Akuu we nenda ukitolewa na panga ndio urudi upange mkakati mpya, waweza shangaa akakupa tu bila shida
 
Kaka zao wawape siri ya mchezo. Mbona sie tunaishi nao raha mustarehe kwa maisha haya haya? Ila nashangaa huku wanaogooopa!

Yaani waoga hao km wanaoga njia panda, maisha ndio hayahaya uoga wa nn sasa!
 
Nani kakuambia sina pesa,sijaoa na nishafanikiwa,ila kuhusu mke wangu lazima nimfuatilie nataka kujua hela zake si kwamba nazihitaji

Pesa hazimtoshi mtu so endelea kusaka, sasa unaziulizia pesa za mkeo za nn?? Zinakuhusu nn?
 
Wewe hujaoa wewe. Wabaume wenzio wangapi wanakuja huku kulalamika hawajui vipato vya wake zao? Unadhani huwa wanathubutu kuuliza kwa wake zao?
Wanakuja huku ili kutafuta amani, wanapima kama ni wao tu ndio hawajui au kuna wengine?

Yaani mie hapo ndio huwa wananichosha, kutwaa wanalalamika humu ila kwa kujitia ujanja sasa, yaani kila kitu wanajua wao na kila kisichowezekana kwao kinawezekana, ila id zao zile za kapuni ndio wanazolalamika nazo
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Utaishia kupigwa dudu na kuachwa
 
atoto, vipi haya masharti yamelegezwa au bado yapo "intact"?
 
Last edited by a moderator:
msimamo wangu

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

Nimemaliza
how old r you.
Omba mungu manake unachopanga
mungu hupanga tofauti.
 
we atoto hayo masharti uliyotoa hayana nafasi ktk mahusiano ya kimapenzi au ndoa bali yanaweza kutumika ktk biashara.

Mbona mm kwangu imewezekana? Tunawasaidia inapobidi(ukitoa wazazi) ila sio ndio wajifanye km mali zetu walizichuma wao na ni lazima ziwahusu direct wakati na sisi tuna familia inayohitaji na kudeserve hizo mali.
 
  • Thanks
Reactions: RCA
Back
Top Bottom